Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
Wakuu mimi natumia Kaspersky 2011 itakayoexpire baada ya siku 182 zijazo,ila jana kiliingia kirusi fulani hivi wakati nilipokuw na update computer yangu, kirusi hiki kilidanganya security defender ikawa inatoa alerts za kuonesha kwamba computa is infected, kikawa kina interfere mpaka matumizi ya kawaida ya computer.Nilifanya full scanning kwa kutumia Kaspersky lkn ikashindikana. Niligoogle solutions, wakaniambia nitumie Antimalwarebytes lakn ikashindikana ikabidi niformat computer ndio tatizo likaisha.
So, naomba nifahamishwe what is the best antivirus kwa sasa?
So, naomba nifahamishwe what is the best antivirus kwa sasa?