Iyokopokomayoko
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 1,785
- 441
WAKUU, nimekubaliana nanyi kuwa google chrome ndo browser nzuri kuliko zote, mnasemaje sasa kwa upande wa antivirus?
kwanza nawashukuru wote waliopoteza muda wao kunisaidia, tofauti na nilivyotegemea ni kuwa mi muda mwingi natumia avast free antivirus lakini kama ulivyosema mkuu hapa ni kuwa kuna wakati kompyuta inajizima tu lakini nikiiscan hakun virusi hata hivyo hili limeanza kunitokea tangu nilipobadilisha window, kabla nilikuwa natumia vienna na kompyuta yangu haikuwahi kujizima hata mara moja lakini tangu nianze kutumia windows xp 2006 advanced security and drivers computer mara kadhaa ina-crash na kujizima bila sababu yeyote, sasa nashindwa kuelewa kama inaweza kuwa ni antivirus au ni windows, nitashukuru kwa maelezo yenu zaidi.Naona kila mtu anavutia kwake na kwa anti-virus aliyoizoea.Ushauri wa Bure; free-downloadable anti-virus nyingi zinaweza ku-crash computer yako kwa wakati usiotarajia. Pia kuhamisha data kwa kutumia flash disks kwaweza kukugharimu. Jinyime kidogo ununue licensed anti-virus yako mwenyewe! Mie natumia Kaspersky na iko poooooa!
Kiboko ya web browser ni mozillafirefox, kama unatak computer ilindwe na Virus ,Trojan, na Worm basi mimi ninakushauri tumia anti-virus inayoitwa Avira anti-vir Avira Anti-Vir Personal Free Avira Free Antivirus - Free software downloads and software reviews - CNET Download.comWAKUU, nimekubaliana nanyi kuwa google chrome ndo browser nzuri kuliko zote, mnasemaje sasa kwa upande wa antivirus?
Kiboko ya web browser ni mozillafirefox, kama unatak computer ilindwe na Virus ,Trojan, na Worm basi mimi ninakushauri tumia anti-virus inayoitwa Avira anti-vir Avira Anti-Vir Personal Free Avira Free Antivirus - Free software downloads and software reviews - CNET Download.com
hii Avira Anti-Vir ni kiboko kuliko hizo zote Walzosema wenzangu hebu anagalia hapa chini
Why Avira Anti-Virus Better Protection Than Avast,Avg,NOD32 Anti-Virus,Kaspersky and Norton? Press This Link Virus Bulletin : News - AV-Test release latest results
WAKUU, nimekubaliana nanyi kuwa google chrome ndo browser nzuri kuliko zote, mnasemaje sasa kwa upande wa antivirus?
Nakubaliana nawe mkuu, miaka yote nimetumia mozillar lakini wiki hii moja ya google chrome niliyofunga baada ya kusoma hapa jf nakubaliana kabisa chrome ni noma, nitatoa msimamo tena baada ya mwezi mmoja, kuhusu avira inawezekana bali najaribu kwanza msc then nitatofautisha na avast kisha nitajaribu avira baadaye sana. thanks to allHiyo ni marketing tu kama ilivyo kwa bidhaa nyingine. Kizuri chajiuza sio kujitembeza.....
Kiboko ya web browser ni mozillafirefox, kama unatak computer ilindwe na Virus ,Trojan, na Worm basi mimi ninakushauri tumia anti-virus inayoitwa Avira anti-vir Avira Anti-Vir Personal Free Avira Free Antivirus - Free software downloads and software reviews - CNET Download.com
hii Avira Anti-Vir ni kiboko kuliko hizo zote Walzosema wenzangu hebu anagalia hapa chini
Why Avira Anti-Virus Better Protection Than Avast,Avg,NOD32 Anti-Virus,Kaspersky and Norton? Press This Link Virus Bulletin : News - AV-Test release latest results