Wadau nisaidieni kuna jamaa yangu anadai mobile yake imekufa imeshambuliwa na virus
naogopa mobile yangu isije shambuliwa maana toka jf waweke mobile edition muda mwingi natumia mobile niwapo nje ya ofisi na home,
na ukizingatia mdau mmoja alitupa mbinu safi ya kupunguza gharama kwa kuweka line ya zain kisha unatumiwa mpangilio wa zain ktk simu yako kisha unatoa unaweka line ya voda unakula net safi.
ombi mwenye utaalamu atujuze ni anti virus gani inafaa na kama akiweka na link tuweze kudownload kabisa simu ziwe salama.
simu yangu ni sony ericsson p900
pia naomba kufahamishwa juu ya huduma ya internet kit yaani BIS ambayo nasikia zain ni 35000,
je ukiunganishwa na hii nini tofauti yake na kujiunga kawaida, au unaweza kuunganisha mobile na pc ukaendelea kusurf kama kawa
thanx in advance
naogopa mobile yangu isije shambuliwa maana toka jf waweke mobile edition muda mwingi natumia mobile niwapo nje ya ofisi na home,
na ukizingatia mdau mmoja alitupa mbinu safi ya kupunguza gharama kwa kuweka line ya zain kisha unatumiwa mpangilio wa zain ktk simu yako kisha unatoa unaweka line ya voda unakula net safi.
ombi mwenye utaalamu atujuze ni anti virus gani inafaa na kama akiweka na link tuweze kudownload kabisa simu ziwe salama.
simu yangu ni sony ericsson p900
pia naomba kufahamishwa juu ya huduma ya internet kit yaani BIS ambayo nasikia zain ni 35000,
je ukiunganishwa na hii nini tofauti yake na kujiunga kawaida, au unaweza kuunganisha mobile na pc ukaendelea kusurf kama kawa
thanx in advance