newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
Wadau wa JF
nimeamua kuachana na Tanesco na Bili kubwa za Luku,huduma mbovu ya mgao,usio eleweka,Osterbay umeme haukatiki(nimeona mara 2 mfululizo-u may correct me on this),mgao wa upendeleo.
Umeweza kununua gari ya milioni 5,umejenga nyumba ya millioni 35,Je utashindwa kufunga umeme milioni 2 wa uhakika bila kero za Tanesco.its time to have an Anti-Tanesco system installed in your house
Nimeshatengeneza inverter na battery charging system,kwa sasa ninatumia backup inayochajiwa na tanesco.
Sasa nashughulikia WindMill (kata Upepo) nikishaunga tu kata upepo yangu,nadisconnect Tanesco ,siwataki na siwahitaji Ng'O
Ninapoishi kuna upepo wa kutosha,kwa wale ambao hamna upepo u can hookup a solar pannel.
Nataka ni approach local bank kuona uwezekano wa kutoa mikopo ili niwauzie waTz wenye hasira na Tanesco kama mimi.
How its going to Work:
Unapata mkopo From the Bank ,eg Exim at a reasonable intrest.The Banks pays for the Anti-Tanesco system,then unaletewa na kufungiwa with a guarantee and service agreement,after a month the Bank wanaanza kukukata fedha kidogo kidogo from your salary or ur account
kama utapenda kuwa mmoja wapo tafadhali nitumie PM yenye email yako na mji unaotarajia kufunga Anti-Tanesco System
Nikishafanikiwa nawaandikia Tanesco waje wachukue box lao la LUKU.nawapa talaka ya moja kwa moja.
nimeamua kuachana na Tanesco na Bili kubwa za Luku,huduma mbovu ya mgao,usio eleweka,Osterbay umeme haukatiki(nimeona mara 2 mfululizo-u may correct me on this),mgao wa upendeleo.
Umeweza kununua gari ya milioni 5,umejenga nyumba ya millioni 35,Je utashindwa kufunga umeme milioni 2 wa uhakika bila kero za Tanesco.its time to have an Anti-Tanesco system installed in your house
Nimeshatengeneza inverter na battery charging system,kwa sasa ninatumia backup inayochajiwa na tanesco.
Sasa nashughulikia WindMill (kata Upepo) nikishaunga tu kata upepo yangu,nadisconnect Tanesco ,siwataki na siwahitaji Ng'O
Ninapoishi kuna upepo wa kutosha,kwa wale ambao hamna upepo u can hookup a solar pannel.
Nataka ni approach local bank kuona uwezekano wa kutoa mikopo ili niwauzie waTz wenye hasira na Tanesco kama mimi.
How its going to Work:
Unapata mkopo From the Bank ,eg Exim at a reasonable intrest.The Banks pays for the Anti-Tanesco system,then unaletewa na kufungiwa with a guarantee and service agreement,after a month the Bank wanaanza kukukata fedha kidogo kidogo from your salary or ur account
kama utapenda kuwa mmoja wapo tafadhali nitumie PM yenye email yako na mji unaotarajia kufunga Anti-Tanesco System
Nikishafanikiwa nawaandikia Tanesco waje wachukue box lao la LUKU.nawapa talaka ya moja kwa moja.