Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
duhu..amekukoseani?Namchukia Nape kuliko kinyesi
duhu..amekukoseani?Namchukia Nape kuliko kinyesi
we kweli kiazi! DC ni kiongozi wa watu, mbunge ni kiongozi wa nani? Tumia makalio yako kufikiri vzrHabari ya kishabiki zaidi..inafaa sana ingeandikwa na John Mnyika (public relation officer wa Chademu..lakini kuandikwa na mwandishi wa gazeti linalojibaragua kuwa huru..ni upotofu mtupu<br />
<br />
Amendika matope ya ushabiki
we kweli kiazi! DC ni kiongozi wa watu, mbunge ni kiongozi wa nani? Tumia makalio yako kufikiri vzr
mkuu naona bange inakuzengua kwa kichwaDC yuko kazini kwake anapigwa kwa kosa gani kama si uhuni na mwandishi (eti professional matope) anashabikia<br />
<br />
Mbunge makini hawezi shawishi wananchi kumpiga DC ..lakini bange mbaya
Tena huyo ilitakiwa atandikwe kama mwizi vile, bado alitoka salama wanalaumu? kunya anye kuku akinya bata kaharisha. Kwanza jina lenyewe tu halina hadhi ya kuwa mkuu wa wilaya anaonaekana ni waswahili walewale. kweli nchi yetu imeuzwa kwa hawa waswahili watz tutajuta sana kwa uongozi huu kuliko wakati mwingine wowote. Bora hata CCM ya Mkapa.