Tonge
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 695
- 12
Mi wajameni huyu mkulu siku hizi simuelewi kabisaaaa, ananiboa mbaya na haya maahadi yake ambayo sijui anapotoa anafikiri kuwa anaongea na watoto au majingajinga hivi, real sielewi kabisa hao washauri wake wanafanya kazi gani, lakini labda hashauriki.Kila kitu kwake ndoto ndoto ndotooooo.