Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,425
- 85,869
Asabuhi ya leo nilikua nikisikiliza news toka Radio WAPO, mojawapo ya taarifa ni kwamba eti Kiranja mkuu kawaambia wachaga kuwa miaka mitano ijayo shule elfu tatu zitakuwa zinafundisha kwa kutumia Tele-conferencing system hivyo tatizo la uhaba wa Walimu litapungua...na blah blah nyingi. Swali langu la wasiwasi ni kwamba,
Hapa UDSM achilia mbali huko primary na secondary, wameshindwa kutumia system hizo, huko kwa walimu wa watu wasiojua lolote si ndio kuwadangaya kweli? UDSM zipo room ALT A & B na SA & SB vyenye hii mifumo ambayo wala haifanyi kazi wala haitumiki...jamani kweli walimu wetu waweza kuyafanya haya ndani ya hiyo miaka mitano ya Kiranja mkuu huyu, ajabu ya Mungu wachaga wale wakapiga makofi na kufurahia kweli kweli.
Tunakoelekea tutakuja kuambiwa mabomba yatatoa maziwa tukubali. tuwaeleze wananchi vitu ambavyo vina mantiki na sio kuongea ili mradi umeongea
Hapa UDSM achilia mbali huko primary na secondary, wameshindwa kutumia system hizo, huko kwa walimu wa watu wasiojua lolote si ndio kuwadangaya kweli? UDSM zipo room ALT A & B na SA & SB vyenye hii mifumo ambayo wala haifanyi kazi wala haitumiki...jamani kweli walimu wetu waweza kuyafanya haya ndani ya hiyo miaka mitano ya Kiranja mkuu huyu, ajabu ya Mungu wachaga wale wakapiga makofi na kufurahia kweli kweli.
Tunakoelekea tutakuja kuambiwa mabomba yatatoa maziwa tukubali. tuwaeleze wananchi vitu ambavyo vina mantiki na sio kuongea ili mradi umeongea