KIWAVI
JF-Expert Member
- Jan 12, 2010
- 1,817
- 699
Wakuu, hii si news lakini ni news;
Kuna udhaifu mkubwa sana hapa nadhani katika wizara ya miundombinu wa namna ya kuendesha hizi ferries na time management achilia mbali priorities za nguvukazi hapa ferry
Kwa upande wa bandari, naona wameanza tabia ya kuruhusu meli zipite prime hours kama saa moja asubuhi nk. bila kujali kwamba huo ni muda wa kazi na watumishi wanaoishi kigambo wanateseka wakipisha meli ipite... jambo ambalo lingeweza kufanyika hata alfajiri au usiku wa manane... cost ya huu uzembe inaweza kuzidi mamilioni kwa dakika kwani inachelewesha vivuko, inachelewesha watendaji na kwa hesabu za harakharaka ni zaidi ya laki moja wanaovuka asubuhi
Ukija kivukoni, jamaa ndio hamnazo, kwanza wanasubiri gari zijae ndio wawashe kivuko cha pili, halafu wameanza kupokea vijisenti vya kufanya baadhi ya gari kuwa premium kwa hiyo zisipange poleni
Ukija kwenye daraja, naona huko sasa imekua another ATC... hakuna tena anayezungumza... cha kushangaza ni kwamba kuna vigogo wa wizara humohumo ambao wao hupita ki-VIP na kusahau kwamba zile foleni ni mazao ya kazi zao pungufu
Watu wazuiwa kuendelea na ujenzi lakini hakuna kinachoendelea, tumeingia kwenye siasa na kusahau maendeleo
Mwisho ni kwamba mbunge yeye naona ameamua kunenepa tu na kuacha wananchi wake
surely this is another crisis in the making
Kuna udhaifu mkubwa sana hapa nadhani katika wizara ya miundombinu wa namna ya kuendesha hizi ferries na time management achilia mbali priorities za nguvukazi hapa ferry
Kwa upande wa bandari, naona wameanza tabia ya kuruhusu meli zipite prime hours kama saa moja asubuhi nk. bila kujali kwamba huo ni muda wa kazi na watumishi wanaoishi kigambo wanateseka wakipisha meli ipite... jambo ambalo lingeweza kufanyika hata alfajiri au usiku wa manane... cost ya huu uzembe inaweza kuzidi mamilioni kwa dakika kwani inachelewesha vivuko, inachelewesha watendaji na kwa hesabu za harakharaka ni zaidi ya laki moja wanaovuka asubuhi
Ukija kivukoni, jamaa ndio hamnazo, kwanza wanasubiri gari zijae ndio wawashe kivuko cha pili, halafu wameanza kupokea vijisenti vya kufanya baadhi ya gari kuwa premium kwa hiyo zisipange poleni
Ukija kwenye daraja, naona huko sasa imekua another ATC... hakuna tena anayezungumza... cha kushangaza ni kwamba kuna vigogo wa wizara humohumo ambao wao hupita ki-VIP na kusahau kwamba zile foleni ni mazao ya kazi zao pungufu
Watu wazuiwa kuendelea na ujenzi lakini hakuna kinachoendelea, tumeingia kwenye siasa na kusahau maendeleo
Mwisho ni kwamba mbunge yeye naona ameamua kunenepa tu na kuacha wananchi wake
surely this is another crisis in the making