Another Coup...Guinea-Bissau pachimbika!

Safi sana.Halafu mktaba wa siri ambao serikali ya Gomes iliingia na Angola inabidi uwekwe hadharani. Ukibaraka ni mbaya sana,jeshi la Guinea Bissau kweli ni la Wananchi.

Demokrasia ya kinafiki inapoleta vibaraka na wezi,ni lazima option number 2 itumike.Najua wanafiki wa ECOWAS watasema sana na hata AU lakini hiyo ni club ya viongozi wabovu na wengi wao ni vibaraka wa mabebru period!

Sasa jeshi liandae modality ya democratic institution baada ya kuunda serikali ya mpito.Ihakikishe mahakama imara,Bunge lenye meno.Tuanze upya

ARTICLE YAKO NI NZURI SANA ILA UMEHARIBU HAPO NILIPO TIA NYEKUNDU. huo ni usemi wa kichuki dhidi ya kuwa rafiki wa USA, Israel na western europe. Kenya amekuwa rafiki wa nchi hizo nilizotaja hapo juu, ona alipo leo kiuchumi, elimu na ustawi wa jamii. Sisi tulikuwa tunawaita kenyatta kuwa ni kibaraka wa CIA, ona alivyowalea wakenya. Angalia Nigeria, Ghana, Ivory Cost, Botswana na Senegal ambao ni marafiki wa western, USA na Israel walivyo juu ki uchumi.

Unemployment Tanzania haitaweza kuja kushuka kama tukiwa na watu kama wewe wawili ktk jamii. na hao vibaraka wa Iran, Misri na Saudi Arabia mbona huwasemi ? Jiulize ni nani ambaye anatukataza kutopekeka ubalozi kamili Israel kama siyo Saudi arabia na Iran? wewe angalia sana kiburi cha kisiasa kinavyoweza kutesa watu kwa bila ya sababu.
 
jatika mapinduzi ya kijeshi wanajeshi wote na walio wengi wanaypenda sana kwa sababu ya kuwalala wanwake kinguvu. Pale Mali wanawake ktk mabenki, walikuwa wnachukuliwa kinguvu na kubakwa sana. halafu sehemu kama vile za osterbay, masakai mbezi beach ndizo wnajeshi hupenda kwenda kuwachagua wanwake wa kuwalala kinguvu. Usiku mmoja tuu pale bamako jumla ya wanwake 51 thousands walibakwa kinguvu/ usiombee jeshi lichukue madaraka.

Yakitokea TZ, basi BOT, NBC, NPF Tanesco Oysterbay , masaki, mbezi beach wake chonjo . humo ndimo wanwake wazuri na wanotunzwa kipesa walipo na utakuja wanjeshi huvamia humo iwe usiku au mchana. Pale Kenya yalipotokea mapinduzi ya kumta Moi mwaka 1982, Kule west land mademu na wake za watu walibakwa sana sana .
 
matukio kama haya yamepelekea Afrika kushindwa kuheshimiwa na mabara mengine duniani.Yaani mambo yote mabaya mabaya ni Afrika,why?
 
Majeshi yetu yanasikia hayo! wao wako wanakula bia za bei chee..na kuwalinda mafisadi. Enyi makuruta amkeni, msisubiri ma meja, ma kapteni na ma generali watoe amri, wao maisha swafi..Mnakumbuka story ya Samuel Doe wa Liberia? Askari wa cheo cha chini alifanya mambo.
 
Asante kwa taarifa.
Mimi naamini wimbi hili litaendelea ktk nchi nyingi za kiafrika. kutokana na utawala wa kibabe usiojali maslahi ya wengi, huku wakitumia vyombo na taasisi ambazo zilipaswa kulinda haki za raia wake kujiimarisha kuendeleza ukandamizaji na uporaji wa raslimali za nchi, kwa faida yao, watoto wao na wapambe wao.
 
Majeshi yetu yanasikia hayo! wao wako wanakula bia za bei chee..na kuwalinda mafisadi. Enyi makuruta amkeni, msisubiri ma meja, ma kapteni na ma generali watoe amri, wao maisha swafi..Mnakumbuka story ya Samuel Doe wa Liberia? Askari wa cheo cha chini alifanya mambo.
 
ARTICLE YAKO NI NZURI SANA ILA UMEHARIBU HAPO NILIPO TIA NYEKUNDU. huo ni usemi wa kichuki dhidi ya kuwa rafiki wa USA, Israel na western europe. Kenya amekuwa rafiki wa nchi hizo nilizotaja hapo juu, ona alipo leo kiuchumi, elimu na ustawi wa jamii. Sisi tulikuwa tunawaita kenyatta kuwa ni kibaraka wa CIA, ona alivyowalea wakenya. Angalia Nigeria, Ghana, Ivory Cost, Botswana na Senegal ambao ni marafiki wa western, USA na Israel walivyo juu ki uchumi.

Unemployment Tanzania haitaweza kuja kushuka kama tukiwa na watu kama wewe wawili ktk jamii. na hao vibaraka wa Iran, Misri na Saudi Arabia mbona huwasemi ? Jiulize ni nani ambaye anatukataza kutopekeka ubalozi kamili Israel kama siyo Saudi arabia na Iran? wewe angalia sana kiburi cha kisiasa kinavyoweza kutesa watu kwa bila ya sababu.

Hatuhitaji kuwa taifa la kulelewa.Taifa la kulelewa ni taifa la kijinga sina heshima nalo.Ni mkusanyiko wa watumwa kifikra...

Ukila vizuri na kulala vizuri bila kuwa na uhuru wa kujiamulia mambo yako hauna sababu ya kuishi kama binadamu.Ni maisha ya fedheha

Tusitafute kulelewa,tutafute fursa huku tukilinda utu na heshima yetu kama Taifa.Tusitafute ukibaraka/kulelewa.Tutafute njia ya kutumia fursa na kutatua kero zinazotukabili huku tukilinda misimamo na values zetu na dunia itutambue hivyo.Jumuia ya kimataifa itutambue kwamba sisi ni taifa linalojitambua na lenye jeuri kiuchumi,kisiasa na kiutamaduni katika kulinda utu na heshima ya mwanadamu.Changamoto zinazotukabili zisitufanye tujidhalilishe.by the way,mapinduzi yanayoendana na kubaka watu hayo siwezi kuyaheshimu.mapinduzi yalete mageuzi ya kifikra na yatafute kuondoa fedheha ya kitaifa.Jeshi la aina hiyo litakuwa limejipambanua kiuzalendo .

Mapinduzi yenye tija sharti yajali utu na kuondoa fedheha ya taifa kwa wakati huo.Hii ndiyo legacy ya jeshi lolote la wananchi
 
Hayo mnayoyaita mapinduzi Guinea Bissau hayana tija yeyote kwa mwananchi wa kawaida. Sio kila kitu ni lazima kushabikia!
 
Nchi nyingi za Afrika magharibi zimekumbwa na mapinduzi za uongozi Nigeria ikiwemo moja yao. Majeshi ya Afrika mashariki yakae ngangari kuzuia uwezekano wa kufanyika
 
ni ishara ya kuchoshwa na utawala dhalimu usiozingatia misingi ya haki na demokrasia
ubauzi,ufujaji wa rasilimali za nchi,kujikusanyia mali isivo halali nk.
mm nawanunga mkono sina haja kuwalaumu wamechoka kusubiri maendeleo ya midomoni
 
ni ishara ya kuchoshwa na utawala dhalimu usiozingatia misingi ya haki na demokrasia
ubauzi,ufujaji wa rasilimali za nchi,kujikusanyia mali isivo halali nk.
mm nawanunga mkono sina haja kuwalaumu wamechoka kusubiri maendeleo ya midomoni
ni vizuri kusoma historia ya Guinea Bissau kabla hujarukia kusema ulivyosema.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom