Anonymous Leaks 1TB of Data from Kenya's Ministry of Foreign Affairs

Informer

JF-Expert Member
Jul 29, 2006
1,582
6,627
Kundi la wadukuzi wa mitandaoni la Anonymous limeshambulia tovuti ya wizara ya mambo ya nje ya Kenya na kuiba data muhimu, tovuti moja ya usalama mtandaoni imeripoti.

Shambulio hilo lilitekelezwa chini ya operesheni iliyopewa jina OpAfrica, ambayo lengo lake ni kukabiliana na udhalilishaji wa watoto, kufanyishwa kazi kwa watoto na ufisadi katika nchi za Afrika, tovuti ya HackRead imeripoti.

Operesheni hiyo ilizinduliwa mwaka jana.

Serikali ya Kenya haijasema iwapo kuna nyaraka na habari muhimu ambazo zimeibiwa na wadukuzi hao.

Tovuti ya HackRead inasema data ya jumla ya 1TB ambayo imeibiwa imeanikwa kwenye “mitandao ya giza” ambayo ni mitandao ambayo ina siri kuu na huficha majina na utambulisho wa wanaoitumia.

Anonymous majuzi walidukua tovuti ya kampuni ya kusafisha mafuta ya Kenya pamoja na tovuti za mashirika mengine yanayomilikiwa na serikali.

Udukuzi wa tovuti nyingi katika nchi za Afrika kusini mwa jangwa la Sahara hata hivyo sana huhusisha kuzichafua badala ya kuiba data.

Huku watu na serikali nyingi zikianza kufanya shughuli zaidi mtandaoni, kuna habari na maelezo mengi zaidi ambayo yanaweza kuandamwa na wadukuzi.

Anonymous hufanya kazi kama mtandao wa ushirika. Hushirikisha wadukuzi kutoka nchi mbalimbali ambao hutumia jina hilo na hivyo huwa vigumu kufahamu iwapo wadukuzi wanatoka nje ya nchi au ndani ya nchi.

Kundi hilo hujidai kuwa la wanaharakati ambao hutekeleza uvamizi wa mitandaoni kukabiliana na ufisadi na ukiukaji wa haki.
========================

April 28, 2016

ANONYMOUS LEAKED CONFIDENTIAL DOCUMENTS FROM THE MINISTRY SERVERS AGAINST GOVERNMENT CORRUPTION.

The online hacktivist Anonymous has conducted a sophisticated cyber attack on the government of Kenya by breaching its Foreign ministry server, stealing a trove of data and ending up leaking some of it on the Dark Web. The cyber attack was conducted under the banner of operation OpAfrica which was launched last year against child abuse, child labour and corruption in the African countries.

The dumped data contains confidential and non-confidential PDF and Docx files from the ministry server including email conversations, security related communication, international trade agreements and letters discussing the security situation in Sudan where government forces are fighting the Sudan People’s Liberation Army (SPLA).

“It’s too late for Kenyan government to expect us”: Anonymous

Other letters include conversation related to weapon clearance in Namibia, details about a business collaboration deal between Kenya and Oman, several other documents discussing state officials visiting the country. However, one internal email document is really interesting and talks about security alert for the ministry of foreign affairs’ staff sent by Information Communications Technology (ICT) stating that someone is trying to hack staff email IDs by sending phishing emails containing malicious links. The ICT administrator also shared a screenshot of an email sent by the hackers.

018d8adc9e01534e7da4e85377120f0b.jpg

For readers information the dumped data does not include email addresses or passwords, however, in an exclusive conversation with one of the Anonymous hackers HackRead was told that:

"We have 1TB of data but at the moment, we have leaked just one portion of it. In few days you will receive full disclosure of the data – We the Anonymous will stand against corruption, child abuse, and child labour! The government of Kenya should have expected."​

The leaked data can be accessed using Tor Onion browser. Remember, in March 2016, Kenyan oil refinery website was also defaced for OpAfrica. Another group hacked South African job portal, Ugandan Ministry Of Finance and an IT company under the Rwandan government. The group also leaked details of 64,000 workers from Tanzanian telecom firm for OpAfrica.

Stay tuned for full disclosure of the data.
 
Contradictions, they are for corruption interception, so by hacking official data base is a way of fighting the crime?
 
Back
Top Bottom