Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Wakuu naomba msaada/ushauri
Nimekuwa nikitumiwa emails na mtu mara kwa mara zikiwa na maneno ya kashfa na vitisho. Address yake xyz@yahoo.com
Ninawezaje ku-trace au kupata msaada wa ku-trace huyu mtu anatuma emails kutoka wapi?
Au ni utarattibu gani nifuate ili kuweza kumpata huyu mtu au anagalau kumfanya aache kutuma hizi emails?
Natanguliza shukrani
Nimekuwa nikitumiwa emails na mtu mara kwa mara zikiwa na maneno ya kashfa na vitisho. Address yake xyz@yahoo.com
Ninawezaje ku-trace au kupata msaada wa ku-trace huyu mtu anatuma emails kutoka wapi?
Au ni utarattibu gani nifuate ili kuweza kumpata huyu mtu au anagalau kumfanya aache kutuma hizi emails?
Natanguliza shukrani