Shkh Yahya
Senior Member
- Oct 1, 2010
- 100
- 5
Siamini macho yangu!!! Yaani kweli ana Advanced Diploma tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!! Hata kujiendeleza hakuna!!!!!!!! ??? Alifurahia sitting allowance za kuua mashirika yetu!!! Hatufai huyu. Sasa hebu connect the dot na ubinafsishaji wa mashirika ya umma, hivi hausiki kusaidia watu fulani ku-acquire some kweli!!! Nauliza tu wakuu, hivi ameolewa huyu na ana familia ya watoto wangapi? Machoni ni mkali kweli!!!!
Si kweli kama hakujiendeleza..yeye ni miongomni mwa watu wa mwanzo mwanzo sana kupata CPA hapa nchini.