Anne Semamba Makinda's Profile!

Siamini macho yangu!!! Yaani kweli ana Advanced Diploma tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!! Hata kujiendeleza hakuna!!!!!!!! ??? Alifurahia sitting allowance za kuua mashirika yetu!!! Hatufai huyu. Sasa hebu connect the dot na ubinafsishaji wa mashirika ya umma, hivi hausiki kusaidia watu fulani ku-acquire some kweli!!! Nauliza tu wakuu, hivi ameolewa huyu na ana familia ya watoto wangapi? Machoni ni mkali kweli!!!!


Si kweli kama hakujiendeleza..yeye ni miongomni mwa watu wa mwanzo mwanzo sana kupata CPA hapa nchini.
 
Msekwa.JPG

Unataka kusema huyu ndio ***** wake?
 
msomi ni mwenye elimu ipi? we mtulutumbi vipi? labda useme wangemweka mtu msafi na mwenye msimamo ingekuwa vigumu kumkontroo, usiseme msomi kama ni usomi yeyote mwenye elimu ya juu ni msomi.anyway, mtulutumbi maana yake nini?
 
Nawashukuru kwa kuleta cv ya anne makinda, naomba anayejua historia yake vizuri atueleze je speaker wetu ana mume na je ana watoto?
 
Jamanieeeeeeeeee huyu shagazi yangu hebu mwacheni hiyo ndio mboni ya ccm
 
Asante sana nikutaka kufahamu biography ya spika mpya! Ana watoto wangapi vile? Jina la mume ni vizuri pia kulijua! Si unajua tena ameisha kuwa kioo cha jamii. Hongera zake


stick with the topic ukishaambiwa alafu itasaidia nini?.......well ni spika now..hureey big ups to Nyalu land and mwanamke wa kwanz akuwa speaker you rock aunt Anna me love you long time...

Na ww masanilo from now on you are banned kuingia Njombe...
 
Ukiona mtu kama huyu mwenye uhusiano na MAFISADI jua kuwa kuna jambo

1. IKULU ipo under remote control ya mafisadi
2.NOW Bunge under remote control ya mafisadi
3.NEXT is Tanzanian under remote control ya mafisadi
Na TAKUKURU,usalama wa taifa pia under remote control...in fwakti mafisadi wame-capture every power available....yaani inatisha!!!:doh:
 
GENERAL
ID No.: 1268
Salutation: HONOURABLE
First Name: Anne
Middle Name: Semamba
Last Name: Makinda
Member Type: Constituency Member
Constituent: Njombe Kusini
Political Party: CHAMA CHA MAPINDUZI
Office Location: P.O. Box 38, Njombe
Office Phone:
Office Fax: 2112538
Office E-mail: amakinda@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Start Date:
End Date:
Date of Birth 15 July 1949


EDUCATIONAL HISTORY
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Institute of Development & Management - Morogoro Administration Course 1971 1975 ADV DIPLOMA
Kilakala Girls' Secondary School(Marian College) A-Level Education 1969 1970 HIGH SCHOOL
Masasi Girls' Secondary School O-Level Education 1965 1968 SECONDARY
Peramiho Girls' Middle School Primary Education 1961 1964 PRIMARY
Uwemba Primary School Primary Education 1957 1960 PRIMARY


EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
- Regional Commissioner 1995 2000
Ministry of Community Development, Women Affairs and Children Minister 1990 1995
State,Prime Minister's & First Vice President Office Coordination of Union Matters 1983 1990
State,Prime Minister's & First Vice President Office In charge of Central Government Coordination 1983 1990
Tanzania Government In charge of Information and Broadcasting 1983 1990
State,Prime Minister's & First Vice President Office Minister 1983 1990
National Bank of Commerce Board Member 1978 1983
Surveyors Building Contractors Consultants Board Member 1978 1983
Tanzania Railways Corporation Board Member 1977 1983
Tanzania Legal Corporation Board Member 1977 1983
Mbeya Textile Company Board Member 1977 1983
National Textile Company Board Member 1976 1983
Tanzania Elimu Supplies Board Member 1976 1983
The Public Accounts Committee of the Parliament Member 1975 1983
Tanzania Audit Corporation Auditor 1975 1976
The Institute of Development Management-Mzumbe Board Member 1971 1976

POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position From To
CCM-Chama Cha Mapinduzi Member of National Executive Council 1977 Todate
TANU/CCM-Chama Cha Mapinduzi Ten Cells Leader 1975 1983
TANU Chairman -Youth League-IDM, Mzumbe 1971 1975
TANU Chairman -Youth League-Kilakala 1969 1970
TANU Chairman of Youth League 1965 1968

CV inaonyesha kuwa kila sehemu anayoshiriki kuiongoza inakufa (Angalia mashirika aliyokuwa mjumbe wa bodi). Tutarajie nini katika bunge lijalo?

Marital status?
 
stick with the topic ukishaambiwa alafu itasaidia nini?.......well ni spika now..hureey big ups to Nyalu land and mwanamke wa kwanz akuwa speaker you rock aunt Anna me love you long time...

Na ww masanilo from now on you are banned kuingia Njombe...

Spika Adam Mkwawa alikuwa Mnyalu pia eeh?
 
Na ww masanilo from now on you are banned kuingia Njombe...

Kumbuka mimi Njombe lazima najua wafahamu sababu!

Hebu acha mbwe mbwe nijibu maswali yangu roho yangu ipate tulia. Jina la mumewe na watoto wa mh Anna Se-Mamba Makinda, mbona Sarah Pallin tulijua hata number ya former boyfriends? Hata waliowahi toka na Michele Obama kabla hajakutana na jaluo? Biodata za Mama Makinda ni muhimu.

Tutafutane Njombe Dec
 
Kumbuka mimi Njombe lazima najua wafahamu sababu!

Hebu acha mbwe mbwe nijibu maswali yangu roho yangu ipate tulia. Jina la mumewe na watoto wa mh Anna Se-Mamba Makinda, mbona Sarah Pallin tulijua hata number ya former boyfriends? Hata waliowahi toka na Michele Obama kabla hajakutana na jaluo? Biodata za Mama Makinda ni muhimu.

Tutafutane Njombe Dec


Mngeanza na Mr President with that status first alafu ndiyo uje kwa spika mbona umeruka huko kooote!...au kwa sababu ni mwanamke ndiyo maana?....acha hizo Masa i still stick to my statement u r banned....najaribu kusahau sababu za wewe kuja Njombe tena....
 
Mngeanza na Mr President with that status first alafu ndiyo uje kwa spika mbona umeruka huko kooote!...au kwa sababu ni mwanamke ndiyo maana?....acha hizo Masa i still stick to my statement u r banned....najaribu kusahau sababu za wewe kuja Njombe tena....

Best ulitesa sana waalimu wako! Mbona huelewi ? ama wafanya kusudi! Jibu maswali tuendelee hiyo ban yako Invisible aatailift!
 
Back
Top Bottom