Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Nimekuwa nikifuatilia mijadala ya bunge lililopita na kukutana na kauli sa spika akitaka mawaziri wajibu maswali kwa kifupi sana na hata kuzuia maswali ya nyongeza kwa kisingizio cha muda hautoshi
kinachoniacha hoi ni pale anapotumia muda mwingi kutambulisha wageni kama wake na waume wa waheshimiwa wabunge...je huu si upotezaji wa muda muhimu unaolipiwa gharama kedekede huko Dodoma instead of discussing serous issues na important matters tunapoteza muda kupeana intro bungeni? Huku tukibaki na viporo vya hoja na kuvifowadi vikao vya mbele...
Kwa speed hii tutafika kweli?
kinachoniacha hoi ni pale anapotumia muda mwingi kutambulisha wageni kama wake na waume wa waheshimiwa wabunge...je huu si upotezaji wa muda muhimu unaolipiwa gharama kedekede huko Dodoma instead of discussing serous issues na important matters tunapoteza muda kupeana intro bungeni? Huku tukibaki na viporo vya hoja na kuvifowadi vikao vya mbele...
Kwa speed hii tutafika kweli?