Alikuwa anapeleka kwa Serengeti Boyz!
Si ndo wanavyotudanganya wadanganyika.
huyu ni muongo yale mabasi ya SUPER FEO DAR- SONGEA NI YAKE PESA KAZIONA WAPI?
Nakusanya ushahidi kuhusu mali zake nikiukamilisha nitaumwaga hapa jamvini.
Mh. Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano amesema kuwa hato gombea ubunge chaguzi mkuu ujao. Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba.
Sorce: ITV, HABARI YA SAA MBILI
Kwanini huyu mama anataka kupindisha ukweli? Eti ametumikia watu wake wa Njombe kwa miaka 17! Lakini najua amekaa mjengoni ktk vipindi nane (8) mfululizo kwa miaka mitano mitano! Ukweli uko wapi wakuu?
Vipindi vingine alikuwa anaingia kupitia vijana...sio jimbo!!kwa jimbo ndio miaka 17
Kuhonga ili apate ubunge kipindi kijacho na kadri unavyotoa hongo ndivyo unabakia kuwa mbunge wa ccm. na ndo maana si yeye tu hata mibunge mingene ya ccm sasa hivi imechoka sana kipesa ndo maana wanalilia sana posho! Pesa zote wanazozipata zinaishia kulipa madeni waliokopa ili kutoa rushwa wachaguliwe! hii kweli ni biashara kichaa ya wabunge wa ccm. Kwa mbunge aliyekwenda kwa kuchaguliwa na wananchi kwa mapenzi yao hana haja ya kufilkisika kiasi hicho kwani hatakuwa ametumia pesa kuhonga watu zaidi ya ile pesa ya kununua mafuta tu ya gari labda lakini hawa watu wanatumia pesa nyingi sana kuhonga watu kanga vitenge kofia na pia kuwapa keshi.Nikiwa primary sch. miaka ya 1980, huyu mama tayari alishakuwa mbunge! Leo hii eti akakope pesa ya kujengea nyumba! Alikuwa wapi muda wote? Na hizo fedha za ubunge alikuwa anapeleka wapi?
Well, simlaumu sana mama yetu lakini anawakilisha mawazo ya kizazi kilichopita chenye uvivu wa kujituma na kumtumikia kafiri bora mkono uende kinywani....
Ni kizazi ambacho hakina matumizi makubwa ya kichwa.... hakiwezi hata kuset priorities za taifa..... ni kizazi cha hunters and gatherers...... hakijafikia hata stage kuitwa horticultural societies.........
1. Kizazi hiki huona bora kiue kiwanda cha kiatu ili kinunue viatu vya ulaya.....
2. kizazi hiki huona bora kiue ginerry na vyama vya ushirika ili products zikawe processed ulaya.....
3. Kizazi hiki hudhani kuwa kutembelea 4 wd za gharama kutainua uchumi kuliko kujenga barabara bora....
4. Kizazi hiki hupenda kwenda kupumzika ulaya na si kuendeleza mambo mazuri ili kipimzikie nyumbani....
5. Kizazi hiki hupenda sana dili za muda mfupi mfupi hata kama zina gharama kwa taifa...
6. Kizazi hiki hakioni umuhimu wa huduma ya reli kuwa bora na umuhimu wa huduma hii kuwa chini ya state.....
7. Kizazi hiki ni hopeless.... ni hopeless kuliko kile cha chifu mwangunga kwani kimeenda shule lakini mambo yao kama kinavuta bangi mbichi......
NOTE: it is high time tulijipanga kwenye forum zetu kuwa tupigane mshahara wa mbunge uwe as high as the university professor....ili ONLY COMMITED PEOPLE TO GET IN PALE MJENGONI.........
Kwa heshima na taadhima NINAWAOMBA WABUNGE WOTE WAZEE WAFUNGASHE NA WAIGE MFANO WA MAMA MAKINDA (ambaye kwa kauli hii nimemuheshimu sana)....
Pia nawaomba wale wabunge vijana wanaofikiri kwa kutumia masaburi pia waunge bogi.....
lets leave the brilliant DOT COMs produce the new cadre to save our sunking Tanzania....
such that hakutakuwa na KULOGANA tena kwa ajili ya hii position......
kiasi kwamba B**** letu limekuwa kambi la wachawi.....
mAMA YETU KASOMA ALAMA ZA NYAKATI...she is brilliant!
Mungu mbariki Makinda...
Mungu ibariki Tanzania...
Jf funguka kwa upana kingereza wanasema read between lines. Ana maanisha tutegemee appartments zenye majina kama makinda tower, semamba tower anna makinda tower, ama majina ya wanawe hela aliyopewa na rostam bilion moja cha mtoto kumbuka amepindisha mengi zao lake ni ufisadi
Naona wengi mnakosa point anayo iongea makinda.
Kasema hata gombea tena ubunge,............Kauli kama hii alisha itoa Sitta pia.
Wote hawa wana maanisha kwamba watakuwa kwenye mchakato na mchanyato
wa kuingia Ikulu,.........subirini watakavyo kwaruzana huko............