Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
BAADA YA MIAKA MINGI YA KUONDOKEWA NA VYOMBO VYETU VYA DOLA NA MAHAKAMA, BUNGE NALO SASA LATUPONYOKA RASMI KUWA CHOMBO CHA KUTETEA MAFISADI
Ni masikitiko makubwa yalioje kwamba Taifa la Tanzania sasa ni rasmi tumepoteza chombo Muhimu sana kwa jina la Bunge.
Hiki ndicho pekee chombo tulichobaki nayo mara baada ya kupodeza DOLA zima pamoja na MAHAKAMA. WaTanzania twende wapi sasa????????????
Mama Makinda, kamwe hatutokaa tukusahau katika hili sawa tu na jinsi Mzee Lewis Makame alivyotutenda WaTanzania kule kuchakachulia CCM kura zetu hivi hivi.
Huyu mama hilo joho na hiyo siwa ya dhahabu vinampa kichwa sana, freedom is coming.