jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,034
- 28,201
Hivi karibuni spika wa zamani mzee sitta alitoa tuhuma nzito na kumhusisha spika makinda na mafisadi.kitendo cha spika anne makinda kuamua kukaa kimya dhidi ya shutuma hizo kutoka kwa mtangulizi wake, kimeonyesha ukomavu wa kisiasa wa mama huyu.yawezekana mama huyu akajibu tuhuma hizo hapo baadae lakini atafanya hivyo bila jazba wala kukurupuka kama alivyofanya sitta.nimewahi kutoa thread hapa jamvini na kumuonya sitta kwamba kubwatuka,kulalamika na kulaumu sio kazi yake kama kiongozi,anahitaji kuchukua hatua