Anne Kilango umejitia aibu

Petiro

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
309
45
Kwenye kuchangia mjadala wa bajeti ya wizara ya ulinzi na kujenga taifa Zitto alitaka kujua tamko la serikali juu ya Meremeta, wazira akapiga chenga ya mwili na mwishoe akasema Mtoto wa Mkulima alishalitolea maelezo. Sasa basi huyu maza akajitia kimbelembele kujipendekeza kwa serikali akaongea upuuzi eti suala la manunuzi ya kijeshi na zana za kijeshi hayapaswi kuzungumza hadharani. Akaongeza "wakati Sarungi akiwa waziri wa ulinzi na JKT na John Samweli akiwa mwkt wa kamati ya ulinzi na mambo ya nje tulishaafikiana na pia naomba mjue HUKO KWNY HIYO KAMATI NDIPO TULIPOKUTANA NA MALECELA NA KUANZA URAFIKI WETU" Sasa kumbe hawa magamba hawazungumzii mambo maana ya kitaifa kwny hizo kamati zao zaidi ya bla blaaa na upuuzi mtupu
 
huyu maza ni uselessy kabisa jimbo lake halina barabara ya lami hata moja , zaidi ya ile inayopita kwenda arusha,wananchi wake wanaishi maisha duni sana.barabara mbovu sana hasa huko mlimani, hospitalini hakuna madaktari na walimu wanakimbia vituo vyao vya kazi,na keshwadanganya wananchi wake sana. Yupo anamuuguza mmewe tu.
 
Leo imekuwaje tena mnamgeuka? Si JF kulikuwa na thread kibao za kumpongeza kila kukicha?
 
kuna siri gani dunia hii ya leo na jeshi letu la kale, siri zinazofichwa ni kama kupanga mauaji, uharamia, kusaidia waasi sasa huko meremeta kuna nini cha ajabu, nuclear plants nchi za wenzetu zinajulikana fika zipo mahali gani
 
Kwenye kuchangia mjadala wa bajeti ya wizara ya ulinzi na kujenga taifa Zitto alitaka kujua tamko la serikali juu ya Meremeta, wazira akapiga chenga ya mwili na mwishoe akasema Mtoto wa Mkulima alishalitolea maelezo. Sasa basi huyu maza akajitia kimbelembele kujipendekeza kwa serikali akaongea upuuzi eti suala la manunuzi ya kijeshi na zana za kijeshi hayapaswi kuzungumza hadharani. Akaongeza "wakati Sarungi akiwa waziri wa ulinzi na JKT na John Samweli akiwa mwkt wa kamati ya ulinzi na mambo ya nje tulishaafikiana na pia naomba mjue HUKO KWNY HIYO KAMATI NDIPO TULIPOKUTANA NA MALECELA NA KUANZA URAFIKI WETU" Sasa kumbe hawa magamba hawazungumzii mambo maana ya kitaifa kwny hizo kamati zao zaidi ya bla blaaa na upuuzi mtupu


Anaona ujanja sana kufanya urafiki na vikongwe ama ndo hongo ya ubunge?
 
Anaona ujanja sana kufanya urafiki na vikongwe ama ndo hongo ya ubunge?
anaona ni sifa..huyu mama ni sifuri kabisa. Wananchi wake wanataabika vibaya mno ..jimbo lake ndio la mwisho kwenye mkoa wa kilimanjaro.
 
Anategea mapurupuru si unajua tena mazee masurufu ya uzeeni bwerereeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.....
 
Maza atakua najikomba kwa sirikali kwani wabunge wote wa sisimu wa Kilimanjaro ni mawaziri au n/waziri isipokua huyu Mazeri. hajui ameshaingizwa mkenge na kilichobaki ni kesema ovyo ovyo, eti kwny kamati analeta uhusiano wa mapenzi na mwkt wake ili wapige domo vizuri
 
Huyu mama amerudi karibu nchini, alikuwa anamuuguza Mzee Malecela. Na kama sikosei Mzee Malecela kama waziri mkuu mstaafu atakuwa amelipiwa gharama za matitabu na serikali. Kwa hiyo huyu mama tunaweza kusema anatoa shukurani, hata hivyo she does not need to lick people's feet maana Mzee Malecela ni Waziri mkuu mstaafu so he is entitled kulipiwa matibabu.

Cha kushangaza, Mama Kilango-Malecela kama alivyo Stella Manyanya, na Beatrice Shellukindo walikuwa miongoni mwa 12 desciples wa mkakati wa kupambana na mafisadi. Kongozi wa kundi hili akiwa Spika Sitta. If my memory iko sawa bunge lilipita mama Kilango alitoa kauli za kutaka uchunguzi wa mikataba tata na kampuni zake i.e TICS, Richmond etc. Kwake yeye mama Kilango kutaka mambo yasiongelewe kwa sasa ina maana uchunguzi aliokuwa anataka umeshafanyika? na ameridhika na matokeo ya uchunguzi? Ni kitu gani hasa kinachomsukuma mama Makinda kutetea hoja alizokuwa anapinga kwa kelele na nguv kubwa bunge lililopita? Anasimamia nini? na kwa nini wananchi tumuamini?

Mwisho, Mama Makinda alipata umaarufu bunge lilipota kutokana na ujasiri (that's what many thought) wa kuongea na kutetea hoja zenye tija kwa maisha wa Tanzania wote. Lakini naweza kusema tena bila kumumunya maneno, heshma hiyo inashuka kwa kasi kubwa kwa sababu ameanza kula 'matapishi' yake mwenyewe. Na akiendelea hivi DVD yake itakuwa ya kuvutia 2015. Uchaguzi wa 2010 alipata shida kwa watu aliowaita mafisadi lakini 2015 nadhani atapata shida kwa sababu ya kutosimamia yale yote yaliyomjenga.
 
anaona ni sifa..huyu mama ni sifuri kabisa. Wananchi wake wanataabika vibaya mno ..jimbo lake ndio la mwisho kwenye mkoa wa kilimanjaro.

Na jimbo la Mtera ndio la mwisho kwenye mkoa wa Dodoma ...

Bw St.. natimua .. @NYC asijenikuta humu
 
[h=2]wakati cc tunasema kwamba maswala ya kijeshi ni siri chekini wenzetu ambao ndo wa babe wa kivita

Russia Military mark nuclear lower limit
[/h]

Russia’s nuclear arsenal should not drop below 1,500 weapons, said the commander of the strategic missile troops Colonel-General Nikolay Solovtsov.
This number will not compromise Russia’s deterrence capacity and may become the basis of the new strategic arms reduction treaty, which is to replace the START agreement. Russia and the US are currently negotiating the terms of the proposed document behind closed doors.
Speaking on Friday to the Public Council monitoring the Defense Ministry at the back-up headquarters of the forces near Kaluga, the general said:
“Our position is that we should not go below 1,500 weapons. The final decision is to be taken by the military-political leadership of the country,” Itar-Tass news agency cites him as saying.
Solovtsov added that current plans for nuclear reduction are for Russia to have between 1,700 and 2,000 weapons by 2012.
Last week, Chief of Russia’s General Staff Nikolay Makarov called the nuclear arsenal “a sacred issue” for the military and said the strategic missile troops will receive all the funding required to maintain a high state of readiness.
General Solovtsov backed this position, saying the command’s rearmament plans will go as scheduled this year.
He also opposed the idea of turning strategic ballistic missiles into precision conventional weapons, saying it would undermine international security.
“Modern systems of launch detection don’t distinguish between nuclear and conventional missile warheads. So it’s natural that the threat will be assessed with a worst case scenario in mind,” he said.
Some US military experts suggest using conventional intercontinental or submarine-launched ballistic missiles in warfare for rapid strikes in any part of the world. Russia's top brass have been opposing the idea, citing its drawback as a potential threat of a false-alarm nuclear conflict.
[h=2]Return of Satan[/h]The Russian military plans to introduce a up-to-date analogue of the most powerful ballistic missile of all time - the RS-20, or SS-18 Satan by NATO classification.
On June 10, the commander of Russia’s Strategic Missile Forces, General-Colonel Nikolay Solovtsov, told journalists that Russia is again interested in the kind of heavy ballistic missiles that once formed the basis of national nuclear arms forces.
The announcement came as both Russia and the US were striving to find convincing arguments for talks on further reductions in strategic nuclear forces, scheduled for later this year.
The RS-20 (SS-18 Satan) remains the ultimate ballistic missile. There is no anti-missile defense system to counter it. It can carry 10 warheads (550 kiloton each) a distance of more than 11,000 kilometers.
It can be launched under almost any conditions, from an atmospheric temperature of -50 C to +50°ÃƒÂÃ‚¡;
Ballistic missile SS-18 Satan
Country: Russian Federation
Alternate Name: RS-20B
Class: ICBM
Basing: Silo based
Length: 34.30 m
Diameter: 3.00 m
Launch Weight: 217,000 kg
Payload: 10 MIRV warheads
Warhead: Nuclear 500 to 550 kT
Propulsion: 2-stage liquid
Range: 15,000 km

it can sidewind up to 90 km/h and can function even under nuclear assault.
Only a powerful direct hit could destroy any of its warheads. But a counter-missile capable of intercepting the RS-20 , once the warheads have been fired, has yet to be produced.
Its reliability has been confirmed by dozens of successful launches, including those of satellites into orbit.
It is no wonder then that that US had a special policy back in 1990s of destroying as many RS-20s as possible.
In 1990 the Soviet Union had more than 3,000 warheads on SS-20 missiles.

RS-20 (SS-18 Satan) ballistic missile
But under the terms of the START-1 (1991) and START-2 (1993) nuclear arms reduction treaties between Russia and the US, this class of missile was significantly reduced. Currently there are 680 warheads in just two nuclear ballistic missile formations in Siberia.
It is no secret that in recent years Russia has been spending a great deal developing the seaborne nuclear missile, Bulava, and the ground-launched ballistic missiles, Topol and Topol-M. However, details on the development of a new heavy long-range ballistic missile have been sporadic and vague, probably because such information remained strictly confidential.
The reason for making such plans public now is probably linked to next month’s meeting between Presidents Obama and Medvedev in Russia, where the question of nuclear arms reduction will be on the table.
When considering its possible future wars, the US military command does not factor in strategic nuclear arms. So, the American administration is proposing a radical cut in the number of nuclear warheads, limiting them to 1,000 on each side.
General-Colonel Nikolay Solovtsov says Russia needs a minimum of 1,500 warheads to guarantee

Empty dispensing warhead of SS-18 Satan
national security, though he admits that it is “up to the leadership of the country to make decisions on the issue”.
In the wake of US President Barack Obama’s apparent back-pedaling on pre-election promises to re-consider the deployment of anti-ballistic missile systems in Eastern Europe, the Russian leadership feels free to take retaliatory steps.
The working life of still-operational SS-20 missiles has just been prolonged to 30 years, which means they will remain on standby until 2016-2020, when they can be replaced with modern versions.
The Strategic Arms Reduction Treaty between Russia and the US expires on December 5, 2009. So, should current efforts to make a new deal on nuclear arms fail, both parties will be free after that date to produce as many warheads as they consider necessary.

SOURCE RUSSIAN TODAY TV
 
huyu maza ni uselessy kabisa jimbo lake halina barabara ya lami hata moja , zaidi ya ile inayopita kwenda arusha,wananchi wake wanaishi maisha duni sana.barabara mbovu sana hasa huko mlimani, hospitalini hakuna madaktari na walimu wanakimbia vituo vyao vya kazi,na keshwadanganya wananchi wake sana. Yupo anamuuguza mmewe tu.

afadhali umetusaidia. Mimi natoka huko kwa muyo maza. Yaani ni shida tupu. Barabara hakuna ni hovyo kabisa ahadi zake za kujenga barabara ziko wapi jamani? Ukipita kwetu mpaka kihurio alikozaliwa ni aibu tupu. Hakuna hospitali na baya kuliko yote jamani barabara........ Hakuna
 
Back
Top Bottom