Kyaiyembe
JF-Expert Member
- Dec 1, 2011
- 1,706
- 665
Hapo penye nyekundu panahusika, Je mmekosea kuandika jina? ulitaka kumwandika JK au JM.
- Asisitiza damu kutomwagika 2015
- Awwaonya wanaotoa lugha chafu dhidi ya JK
Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango amewashukia baadhi ya viongozi wa Chadema wanaojipitisha jimboni kwake na kutoa kauli za kuhatarisha amani iwapo hawatashinda katika uchaguzi wa Mwaka 2015.
Source: Gazeti la Uhuru: Mei 28, 2012.
Maana nahisi kama mtu anampigania Mr. wake vile, kama sio kweli amewashwa nini?.
Mh. Anaanza kuwa msemaji wa JK, au anamtega!
Anashindwa kusemea matatizo ya jimbo lake yaliyotajwa na Saint Ivuga
!
Hivi bado kuna Mkoa haujapata mkuu wake nini?.
Kama bado upo jibu liko wazi.