Anne Kilango ataka mawaziri wachaguliwe na wananchi

- Mkuu wewe umeenda shule kama unavyodai, sasa anza na kumsema mbunge anayefaa sana ndio umlinganishe na Mama Super K hivi bunge la Tanzania mbunge ni Mama Kilango peke yake ndio maana ninasema unachekesha sana,

- Kama ni ushauri alioutoa ni ushauri tu ambao hata na wewe unaweza kuutoa, lakini haina maana wako ni better kuliko wake unless uwe umefanyiwa kazi somewhere na ikathibitishwa kwa scientific facts kwamba ndio umelisaidia lile taifa kusogea mbele kimaendeleo, sasa ningekuomba again uweke ushauri wako wa namna ya kutafuta mawaziri halafu uonyeshe scientific facts kwamba umewahi kuisaidia taifa gani duniani kusonga mbele,

- Halafu unaongea pumba sana hivi ni mwanasiasa gani wa dunia ya leo asiyetumia media kujiweka sawa na wananchi? Unasema Mwalimu alikuwa ananyamaza kimyaaa tu halafu anakubalika na wananchi? Hivi shule uliyosoma na kupata hiyo PhD ni wapi mkuu?

- Yaaani nasikia shida sana hata kulumbana na wewe maana ni waste of time, huna hoja period, watu walioenda shule wanapotaka kuonyesha mbunge mmoja hafai wanatumia mbunge mwingine anayeafaa kuonyesha hoja yao, sasa wewe kila kukicha hapa ni kushupalia huyu mama, sasa tuonyeshe wabunge wengine wanaofaa na waliayoyafanya hapa tuyaone, mkuu hiyo shule waliyokupa PhD wamekuibia waambie wakurudishie hela zako!

es!

FMES,
Tatizo lako ni hili la kuwa na mahusiano ya karibu kama sio ya kindugu na hawa wanasiasa mchwara. Tuachane na kuwatetea kwa vile tunafaida katika teteze zetu bali tuangalie wanayofanya na kunena kama yana nia ya kweli ya kuisaidia nchi.

Kama unakumbuka tulishabishana sana nilipokuambia kuwa kijana waziri Masha ni fisadi lakini ukamtetea sana na sijui kama leo hii unaweza kuendelea kufanya hivyo.

Wapo watanzania wachache tunaowafahamu viongozi wetu wanapojaribu kudanganya au kuuburuza umma kwa kutumia vyombo vya habari kwa maslahi yao binafsi. Hatuna budi kuwaumbua maana hatuwezi kuondoa the likes of Lowassa na kufikiria the Malecelas are different.

We need to get rid of these pretenders if we are to have a real change.

My psychoanalysis tell me that Mama Malecela Kilango was only interested in getting media attention and at the same time inject herself indirectly in the side of the Warioba, Salim, Nnauye etc. She is just a populist and unfortunately academically challenged. We need to stop this behaviour.

She might be less harmful than say RA, but she is not what she want to be seen, mpiganaji wa walalahoi.
 

- Es maana yake ni Emergency System, to suggest othewise ndio ushallow wenyewe huo Bwa! ha! ha!
kila ninapoweka es bila respect maana yake moja tu kwamba ni rabngi yako wewe mtu mmoja Bwa! ha! ha! toka Jumapili unahaha vipi kuna nini mkuu?

- Shule nimejisomesha mwenyewe kwa hela zangu, sikupelekwa Russia na hela za wananchi, halafu siri ya wanafunzi wengi waliokuwa wanapelekwa Russia na China zamani, ilikuwa ni kwamba hawakuwa na uwezo mkubwa wa kuelewa, kwa maneno mengine hawakupasi, maana waliopasi wote walienda Mlimani.

- Malezi bora aliyenayo, hawezi lilia kina mama wanazidi umri wa mama yake, maaana yake ni laaanakum!

- later mkuu


es!
emergency has no system, we really need IQ tests
 
FMES,
Tatizo lako ni hili la kuwa na mahusiano ya karibu kama sio ya kindugu na hawa wanasiasa mchwara. Tuachane na kuwatetea kwa vile tunafaida katika teteze zetu bali tuangalie wanayofanya na kunena kama yana nia ya kweli ya kuisaidia nchi.

- Nimekuambia toka Jumapili kwamba siihi kwa kutegema mtu, ninajitegemea mwenyewe kama wewe unategemea wengine sio sisi wote mkuu, mimi sitegemi hela za Kiwira na Meremeta!

Kama unakumbuka tulishabishana sana nilipokuambia kuwa kijana waziri Masha ni fisadi lakini ukamtetea sana na sijui kama leo hii unaweza kuendelea kufanya hivyo.

- Fisadi siku hizi linatumika kwa adui yoyote yule, na mtu yoyote, lakini tatizo so far limekua ushahidi hakuna hata maana ya fisadi hakuna tena maana hata wewe mbona kuna wanaosema ni fisadi na facts zipo, au?

Wapo watanzania wachache tunaowafahamu viongozi wetu wanapojaribu kudanganya au kuuburuza umma kwa kutumia vyombo vya habari kwa maslahi yao binafsi. Hatuna budi kuwaumbua maana hatuwezi kuondoa the likes of Lowassa na kufikiria the Malecelas are different.
We need to get rid of these pretenders if we are to have a real change.My psychoanalysis tell me that Mama Malecela Kilango was only interested in getting media attention and at the same time inject herself indirectly in the side of the Warioba, Salim, Nnauye etc. She is just a populist and unfortunately academically challenged. We need to stop this behaviour.She might be less harmful than say RA, but she is not what she want to be seen, mpiganaji wa walalahoi.

- Mwanasiasa asiyependa media huyo sio a true politician, soma history ndio uje hapa na hizi nonesense, hakuna mwanasiasa maarufu duniani ambaye amefahamika uongozi wake ulivyo bora bila ya media, hayo mengine jisaidie mwenyewe kujirekebisha maana sio siri una matatizo makubwa sana si ndio maana jamii nzima hua inakushitukia sana, sasa nimeelwa ni kwa nini Bwa! ha! ha!

es!
 
emergency has no system, we really need IQ tests

- I know, na hasa wale wote waliosoma Russia, tukianzia na Kingunge na Sozigwa, Bwa! ha! ha! I mean kusoma shule nchi moja na Kingunge inachekesha sana lazima waliotoka huko wote wapimwe IQ, au? I am down na this! Bwa! ha! ha!

es!
 
FMES,
Tatizo lako ni hili la kuwa na mahusiano ya karibu kama sio ya kindugu na hawa wanasiasa mchwara. Tuachane na kuwatetea kwa vile tunafaida katika teteze zetu bali tuangalie wanayofanya na kunena kama yana nia ya kweli ya kuisaidia nchi.

Kama unakumbuka tulishabishana sana nilipokuambia kuwa kijana waziri Masha ni fisadi lakini ukamtetea sana na sijui kama leo hii unaweza kuendelea kufanya hivyo.

Wapo watanzania wachache tunaowafahamu viongozi wetu wanapojaribu kudanganya au kuuburuza umma kwa kutumia vyombo vya habari kwa maslahi yao binafsi. Hatuna budi kuwaumbua maana hatuwezi kuondoa the likes of Lowassa na kufikiria the Malecelas are different.

We need to get rid of these pretenders if we are to have a real change.

My psychoanalysis tell me that Mama Malecela Kilango was only interested in getting media attention and at the same time inject herself indirectly in the side of the Warioba, Salim, Nnauye etc. She is just a populist and unfortunately academically challenged. We need to stop this behaviour.

She might be less harmful than say RA, but she is not what she want to be seen, mpiganaji wa walalahoi.

Kubwajinga asante sana kwa kumuelemisha huyu FMES. The Lowassa and the Malecelas ni walewale. Wasioaminika. And I couldn't agree with you more: Mama Kilango is academically challenged! As a matter of fact, she needs professional help. Unajua tatizo la FMES anadhani watu wote tulio humu JF ni magumbaru. Anna Whatever Kilango is not who we thought she was. Nor who she made us believe she was/is. She is just as bad as Lowassa, Mrema, and the likes.
 
- I know, na hasa wale wote waliosoma Russia, tukianzia na Kingunge na Sozigwa, Bwa! ha! ha! I mean kusoma shule nchi moja na Kingunge inachekesha sana lazima waliotoka huko wote wapimwe IQ, au? I am down na this! Bwa! ha! ha!

es!

Agwe!!! you never stop to amaze me!!!! naota ndoto siku ambayo JF tutatoa awards mbalimbali, nikukabidhi moja ya resilience
 
- I know, na hasa wale wote waliosoma Russia, tukianzia na Kingunge na Sozigwa, Bwa! ha! ha! I mean kusoma shule nchi moja na Kingunge inachekesha sana lazima waliotoka huko wote wapimwe IQ, au? I am down na this! Bwa! ha! ha!

es!

"A foolish consistency is the hobgoblin of little minds." Perhaps Emerson aliandika hii line kwa ajiri yako FMES.
 
- Hapana ni mtizamo wake sasa na wewe toa wa kwako, unless una facts scientfically ku-prove kwamba wa kwako ndio unafaa na mifano halisi, otherwise ni afadhali mbunge aneyesimama na kusema sheria flani haifai, kuliko wanaonyamaza,

- Maana akisema namna hii anafungua mjadala wa taifa na wengine wanachangia kama unavyofamnya sasa, yaani Mama Super K hapa ametoa platform kwa kila mwananci kuchangia, ndio maana ya uongozi bora siku zote unaonyesha njia wengine hufuata!

Respect.


FMEs!

Ninajibu hii kwa vile ilini-quote, sijasoma post nyinginezo zote, inawezekana nikawa narudia mambo yaliyokwisha andikwa na wengine.

Nadhani kwenye post yangu uliyoquote nilionyesha mtazamo wangu; inawezekana hukuuona au kama unataka nifafanue zaidi. Nitakukumbusha msimamo wangu halafu nitafafanua na kuongeza kidogo.

(a) Mawaziri ni waajiriwa wa rais siyo waajiriwa wa wananchi. Wakivurunda majukumu waliyokabidhiwa na raisi kiasi kuwa wanachi wakachukia basi wananchi hao watamfuka kazi rais ambaye ndiye mwajiriwa wao. Nadhani unajua kuwa kumtimua kazi rais ina maana hata mawaziri nao kibarua chao kinaota manyoya.

(b) Kutokana na muundo wetu kuwa wananchi wanawaajiri wabunge na rais, basi rais asiwaajiri wabunge wetu pia kuwa mawaaziri wake. Katika post yangu uliyokwote sikuwa nimefafanua zaidi kwa nini wasiwe wabunge; nitaeleza sasa. Kikatiba, kwa vile wananchi wamekabidhi jukumu la kumwadabisha rais mikononi mwa bunge kwa niaba yao, basi mawaziri ambao ni wabunge watashindwa kufanya kazi yao hiyo ya kubwadabisha rais na serikali yake kwa vile ni tajiri wao. Vile vile wabunge ambao siyo mawaziri wanaweza kuwa wanatamani rais awaajiri kuwa mawaziri, hivyo watajitahid wamfurahishe ili awafikirie katika ajira alizo nazo za uwaziri. Hiyo inakuwa inadhoofisha nguvu ya bunge.

(c) Nyongeza ndogo ambayo inatokana na mapungufu katika katiba yetu ni kutaka kuwepo mekanizm inayowawezesha wananchi kuwaadabisha wabunge wanaposhindwa majukumu yao. Katika mtindo wa sasa, wananchi wana nafasi ndogo sana ya kumwadabisha mbuge wao anaposhindwa kazi. Inabidi tuwe na marekebisho ya Kikatiba yanaruhusu wananchi kumfukuza kazi mbunge wao anaposhindwa majukumu yake.
 
Kubwajinga asante sana kwa kumuelemisha huyu FMES. The Lowassa and the Malecelas ni walewale. Wasioaminika. And I couldn't agree with you more: Mama Kilango is academically challenged! As a matter of fact, she needs professional help. Unajua tatizo la FMES anadhani watu wote tulio humu JF ni magumbaru. Anna Whatever Kilango is not who we thought she was. Nor who she made us believe she was/is. She is just as bad as Lowassa, Mrema, and the likes.


- Uwezo mdogo wa kufiiri huonyeshwa na maelezo ya mtu na ndio ngumbaru yenyewe hiyo! kama unayoionyesha hapa!

es!
 
"A foolish consistency is the hobgoblin of little minds." Perhaps Emerson aliandika hii line kwa ajiri yako FMES.

- Hapana aliandika hiyo kwa ajili ya mtu mzima mwenye maika 62, kumibia hela za Insurance mtoto mdogo sana aliyefika majuu tu akiwa hajui kitu, ukiona mtu ana uwezo wa kufanya hayo, basi ndiye aliyeandikiwa haya ya Emerson, au? Bwa! ha! ha!

es!
 
Ninajibu hii kwa vile ilini-quote, sijasoma post nyinginezo zote, inawezekana nikawa narudia mambo yaliyokwisha andikwa na wengine.

Nadhani kwenye post yangu uliyoquote nilionyesha mtazamo wangu; inawezekana hukuuona au kama unataka nifafanue zaidi. Nitakukumbusha msimamo wangu halafu nitafafanua na kuongeza kidogo.

(a) Mawaziri ni waajiriwa wa rais siyo waajiriwa wa wananchi. Wakivurunda majukumu waliyokabidhiwa na raisi kiasi kuwa wanachi wakachukia basi wananchi hao watamfuka kazi rais ambaye ndiye mwajiriwa wao. Nadhani unajua kuwa kumtimua kazi rais ina maana hata mawaziri nao kibarua chao kinaota manyoya.

(b) Kutokana na muundo wetu kuwa wananchi wanawaajiri wabunge na rais, basi rais asiwaajiri wabunge wetu pia kuwa mawaaziri wake. Katika post yangu uliyokwote sikuwa nimefafanua zaidi kwa nini wasiwe wabunge; nitaeleza sasa. Kikatiba, kwa vile wananchi wamekabidhi jukumu la kumwadabisha rais mikononi mwa bunge kwa niaba yao, basi mawaziri ambao ni wabunge watashindwa kufanya kazi yao hiyo ya kubwadabisha rais na serikali yake kwa vile ni tajiri wao. Vile vile wabunge ambao siyo mawaziri wanaweza kuwa wanatamani rais awaajiri kuwa mawaziri, hivyo watajitahid wamfurahishe ili awafikirie katika ajira alizo nazo za uwaziri. Hiyo inakuwa inadhoofisha nguvu ya bunge.

(c) Nyongeza ndogo ambayo inatokana na mapungufu katika katiba yetu ni kutaka kuwepo mekanizm inayowawezesha wananchi kuwaadabisha wabunge wanaposhindwa majukumu yao. Katika mtindo wa sasa, wananchi wana nafasi ndogo sana ya kumwadabisha mbuge wao anaposhindwa kazi. Inabidi tuwe na marekebisho ya Kikatiba yanaruhusu wananchi kumfukuza kazi mbunge wao anaposhindwa majukumu yake.

- Mwalimu mtizamo wako ni wako tu, lakini haina maana umsechemsha, au mwenye mtizamo tofauti na wako amechemsha, unless mitizamo hii imekua tested scientifically, otherwise maneno yako ni mazito sana na ubarikiwe sana!

- Na wako ni mtizamo tu pia wa Mheshimiwa sana Mama Super K ni mtizamo tu, hakuna uliochemshwa wala kuungua, yote inatakiwa ifanyiwe kazi kama inaweza kutusadia Tanzania, maana bado haijafanyiwa kazi, au? ni mitizamo tu hakuna uliochemsha!

Respect.


FMEs!
 
Mustaadhi,




Unataka akanushe au abadilishe usemi? Mkuu chongo ni chongo tu usianze kutamani kiwe kengeza. Ms. Kilango is exactly what you wish she is not, a populist and academically challenged.
  1. Kama kawaida ya ma-populist hujaribu kujipamba kwa wananchi ingawa labda ni wachafu. Huyu mama yupo kwenye timu ya Malecela kila siku sasa kama anayofanya sio maigizo utajaza mwenyewe. Utaona wazi kuwa, hapa mama Kilango alikuwa anajaribu kujipamba kwa wananchi against the recent popular "EVIL" (i.e. JK but she can't attack him only his mawaziri).
  2. Kwa upande mwingine hili ni tatizo la digrii za kupewa na mazoea ya kupayuka. Ukizoea kufungua mdomo kwa ajili ya umaarufu na sio kwa sababu za kweli juu ya mambo yanayowaumiza watu, upupu mara nyingine utatoka maana huwa hutumii ubongo wako, especialy unapokuwa academicaly challenged.

You nailed it!
I love JF, haangaliwi mtu usoni.
 
huyu mama ana mawazo ya kipumbavu sana..yaani mawaziri wachaguliwe na wananchi.sijamuelewa alitaka kusema nini zaidi ya kuona mawazo hayo ni ya kijinga
 
- Wapumbavu wote walishindwa kufaulu form six kwenda Mlimani, kwa vile baba zao walikuwa na vyeo vidogo kwenye serikali ya CCM, wakaishia kutumia rushwa na kupata scholarship za Cuba, Russia, na China.

- Mama Super K, is doing just fine na atarudi bungeni tena kwa kishindo, kama huamini akchukue fomu kule uone, itaishia kama Generali Mboma kule Mbeya na kupata kura yako mwenyewe, Mkuu mzima wa majeshi kupata kura yake tu against Mchungaji mdogo tu wa kanisa, ile ilikuwa ni aibu ya the Century.

- Anyways, later naona hakuna jipya ila sasa ndio unaonuesha ile PhD yako ilikuwa ni ya online maana umefungulia mi-ID yako yote toka Jumapili, shule za Russia ndio matatizo yake haya kama humini tizama Kingunge, na Sozigwa. Bwa! ha! ha!


es!
 
Mimi nina imani kabisa kwamba mama aliteleza au hakueleweka... tumpe bebefit of a doubt, labda ataweka mambo sawa very soon

Hivi yeye ni member wa JF?

Ninavyodhani mama hajateleza, Mwandishi ndo ameteleza sasa sisi ndo tunaangukia pua!! Tusipende kuamini magazeti kila mara yanaleta mkanganiko humu.

FMES kuna mahali unaelewesha kuwa Mama alimaanisha Rais achague mawaziri na bunge ndo lithibitishe kama inavyokuwa kwa Waziri Mkuu; mchango wako no. #13

Lakini hapo hapo unajipinga kwa kushambulia bunge " Bunge gani!! hili la CCM nalo ni bunge!!! lakutuchagulia......... Mtiririko haujakaa sawa.

Lakini yote haya bado ni mawazo, kama tungepata wengine waliohudhuria huo mkutano wakaeleza alivyoelezea au Mama K mwenyewe kuondoa huu utata alikua anamaanisha nini, kwa jinsi mwandishi alivyoandika hii habari bado inaelea sana.
 
MBUNGE wa Same Mashariki, ameponda mfumo wa kuwapata mawaziri na kupendekeza kuwa wachaguliwe na wananchi kama ilivyo kwa rais.

Soma habari kamili hapa:

MBUNGE wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela ameponda mfumo wa kuwapata mawaziri na kupendekeza kuwa wachaguliwe na wananchi kama ilivyo kwa rais.

Wakati Kilango akisema hayo kwenye uzinduzi wa ripoti ya kujipima kwa kutumia vigezo vya utawala, mbunge wa Karatu, Dk Willibrod Slaa amesema nchi itavurugika kutokana na muswada wa sheria ya udhibiti wa fedha za uchaguzi unaoandaliwa kuwasilishwa kwenye mkutano ujao wa Bunge.

Kauli ya Kilango inatokana na ripoti hiyo ya Mfumo wa Kupima Utawala Bora wa Umoja wa Afrika (APRM) kutaja kwamba mchanganyiko kati ya Bunge na serikali unakinzana na kanuni.

Ripoti hiyo iliyozinduliwa juzi na Naibu Spika Anna Makinda katika hafla iliyohudhuriwa na wenyeviti wa kamati za kudumu za Bunge jijini Dar es salaam, imeeleza mafanikio, mapungufu na mpangokazi wa kuyaondoa mapungufu hayo.

Tathimini ya ripoti hiyo iliyofanywa kuanzia mwaka 2007 hadi 2009 imesema: "Mchanganyiko kati ya mhimili wa Bunge na Serikali unakinzana na kanuni zinazotaka mamlaka hizi zitenganishwe kuhakikisha wabunge hawawi sehemu ya utawala, kwa maana kuwa wabunge wasiwe mawaziri wala wakuu wa mikoa."

Akizungumza mara baada ya kuwasilishwa kwa ripoti hiyo, Kilango alifafanua kwamba mfumo wa sasa wa upatikanaji wa mawaziri haukidhi haja na tija ya Watanzania kwa kuwa unatofautiana na ule wa kumpata rais.

"Tuukatae mfumo wa upatikanaji wa mawaziri ambao ni wa Commonwealth (Jumuiya ya Madola) kwa kuwa hauendani na ule wa kumpata Rais," alisema Kilango.

Kilango, ambaye ni mbunge wa jimbo la Same Mashariki, alifafanua kwamba mfumo wa kumpata rais nchini ni wa Kimarekani ambao rais anachaguliwa moja kwa moja na wananchi tofauti na mawaziri ambao huteuliwa na rais baada ya kuwa wabunge.

"Ni muhimu sasa kwa mawaziri nao wakachaguliwa moja kwa moja kutoka kwa wananchi, kwa kuwa mfumo wa kisasa wa utawala unaonekana kuegemea na kufuata mfumo wa Kimarekani ambao mawaziri huchaguliwa moja kwa moja na wananchi hivyo ni wakati muafaka mfumo huo ukatumika kuwapata mawaziri nchini," alisema Kilango.

Naye Makinda alisema mifumo yote miwili ni mizuri na ina faida na hasara zake.

"Kikubwa itabidi tuangalie na tujadili kwa kina ni mfumo upi una faida na tija zaidi kwa Watanzania, lakini mifumo hii inatofautiana kwa kuwa mfumo mmoja unamruhusu waziri kuwepo bungeni moja kwa moja na mwingine unamtaka aingie bungeni wakati kunapokuwepo suala au hoja inayohusu wizara yake," alisema Makinda.

Mbali na suala hilo, ripoti hiyo inayohusu utawala bora imeeleza kwamba kuwepo kwa mapungufu ya kutojulikana mahali fedha za kugharamia uchaguzi zinakotoka kunahatarisha uwepo wa ushindani katika uchaguzi.

Hivyo imependekeza kutungwa kwa sheria za kusimamia fedha zinazotumiwa katika chaguzi mbalimbali pamoja na kutoa elimu ya uraia na elimu ya wapiga kura ili kuondoa rushwa katika uchaguzi.

Akichangia hoja hiyo, mbunge wa Ukerewe, Dk Getrude Mongela alisema rushwa ya kisiasa ni hatari na inaweza kuchochea vita.

"Watu wanajua kwamba rushwa ipo na wanaiona lakini hawaikemei. Na ningependa nisema kuwa rushwa ya kisiasa ni hatari, italeta mfarakano wa kitaifa," alisema Dk Mongela.

Akizungumza na Mwananchi kuhusu hoja hiyo, katibu mkuu wa Chadema, Dk Slaa alisema kupitishwa kwa sheria ya kuweka wazi watu wanaochangia vyma vya siasa pamoja na kiasi, itasababisha vurugu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25.

"Mantiki ya sheria hii ni nzuri katika ulinzi na usalama wa taifa, lakini dhumuni la kutungwa sasa kwa sheria hii ni tofauti na kuna mashaka makubwa hivyo uchaguzi utavurugika zaidi," alisema Dk Slaa.

Dk Slaa alifafanua kwamba kuvurugika huko kutatokana na utofauti mkubwa wa uwiano wa vyanzo vya mapato baina ya vyama vya siasa.

Alisema kutokana na hilo vyama, hasa vya upinzani ambavyo kwa kiasi kikubwa vinategemea michango ya wanachama wao wenye uwezo mdogo wa kipato, vitakuwa katika wakati mgumu.

"Ukweli ni kuwa CCM ina vyanzo vingi vya mapato na hasa kutokana na kuwa na matajiri wengi na wakubwa tofauti na vyama vya upinzani, hivyo kutakuwa na wakati mgumu katika uchaguzi huo,"alisema Dk Slaa.

Katika hatua nyingine ripoti hiyo imeeleza kuwa kutotekelezwa kwa uamuzi wa kuruhusu mgombea binafsi, kunanyima haki ya msingi ya mtu kuchaguliwa.

"Ili kuweka hali hiyo sawa ni muhimu kupitiwa upya kwa sheria za uchaguzi za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na ya Zanzibar," imesema sehemu ya ripoti hiyo.

Tayari serikali imetangaza nia ya kwenda mahakamani kupinga suala la kuwepo kwa mgombea binafsi nchini baada ya Mahakama Kuu kubatilisha sheria inayokataza mgombea binafsi kwa kuwa inakiuka katiba ya nchi.

Akizungumza na Mwananchi kuhusu mgombe binafsi, Makinda alisema; "Tusubiri muda utafika na kila kitu kitakuwa sawa."

Katika hatua nyingine, ripoti hiyo imeeleza kwamba kamisheni za uchaguzi, Tanzania Bara (Nec) na upande wa Zanzibar (Zec), hazina uhuru wa kutosha na pia kuna ufinyu wa kupata haki za kisheria nchini.

CHANZO: MWANANCHI
anne kilango amesoma alama za nyakati na anajua fika kuwa rais wake haaminiki tena katika kuunda baraza huru la mawaziri ndio maana anatoa pendekezo la namna hiyo......................
 
Ninavyodhani mama hajateleza, Mwandishi ndo ameteleza sasa sisi ndo tunaangukia pua!! Tusipende kuamini magazeti kila mara yanaleta mkanganiko humu.

FMES kuna mahali unaelewesha kuwa Mama alimaanisha Rais achague mawaziri na bunge ndo lithibitishe kama inavyokuwa kwa Waziri Mkuu; mchango wako no. #13

Lakini hapo hapo unajipinga kwa kushambulia bunge " Bunge gani!! hili la CCM nalo ni bunge!!! lakutuchagulia......... Mtiririko haujakaa sawa.

Lakini yote haya bado ni mawazo, kama tungepata wengine waliohudhuria huo mkutano wakaeleza alivyoelezea au Mama K mwenyewe kuondoa huu utata alikua anamaanisha nini, kwa jinsi mwandishi alivyoandika hii habari bado inaelea sana.

- Nilichosema ni jinsi nilivyomuelewa, lakini sikusema ni msimamo wangu mbona unahangaika sana vipi?

es!
 
Back
Top Bottom