Anne Kilango ataka mawaziri wachaguliwe na wananchi

Sijaona sababu za kuwa na Mawaziri ambao wanachaguliwa moja kwa moja na wananchi. Sioni tija itakayotokana na uamuzi wa Baraza la mawaziri la namna hiyo.

Ni vyema uteuzi wa mawaziri ukapitishwa na Bunge kwa kuzingatia mabo kadhaa. Baadhi ni kama yafuatayo;
1. Uwezo wao kiutendaji wa kazi
2. Majukumu na vipaumbele vilivyopo
3. Elimu
4. Nidhamu
5. Historia yao
6. Mengineyo

Kwa utaratibu wa sasa,ambao waziri ni rafiki wa Rais na uteuzi wake unazingatia hilo pekee, ndio chimbuko la udhaifu wa serikali ambao tunaushuhudia katika awamu zote za uongozi wa nchi.

Ni vyema pia Rais akapata usaidizi wa namna ya kufanya uteuzi wa Mawaziri. Namna ninayoona ni bora, ni kuwa na mawaziri wasio na wadhifa mwingine wowote (hata Ubunge), wafanyiwe tathmini kabla ya kuteuliwa (kwa kuangalia CV zao, n.k)
 
Mh! Kilango kachem. UNAJUWA KAMA KWEL TUNATAKA KUWA NA MAWAZIRI SAFI, NAVIONGOZ WOTE WAZURI NILAZIMA TUIMARISHE IDARA ZA INTELLIGENSIAN KTK KUWAPATA VIONGOZI, UNAJUWA MIM BINAFS NIMEVUTIWA SANA NA USA, KWAKWEL WANA UMAKIN MKUBWA KTK KUWAJUWA VIONGOZI, KWAKWEL WAMEPIGA HATUWA KIAS WANAIDARA MAALUMU ZAKIUSALAMA KTK KUFUWATILIA NAKUJUWA WALE WANATAKA KUWA VIONGOZ KAMA KWEL NI WAADILIFU AU LAA, SIO SIRI WAPO MAKINI KTK KUJUWA KAMA MTU ANAYE TAKA KUA KIONGOZ NIMLIPAJI WAKODI MZURI,MAHUSIANO YAKE NA KILA KITU KINAMUHUSU, HAPA TANZANIA WEZ NDIO WANAONGOZA, NAMANISHA UKIENDA FUWATILIA MIRADI NA MAMBO MENG YAVIONGOZ UTAKUTA WANAKWEPA KODI, HATA MATAJIR WENG HAPA TZ WANAKWEPA KODI KINYEMELA VIA VYAMA VYA SIASA NA TAASISI ZA KIDIN SASA HATUWEZ KUMPATA WAZIRI MZURI AU RAIS KAMA HATUNA IDARA ZAKIUSALAMA KUWAFUWATILIA, TUFIKE MAHALI MTU KABLA YAKU2PA FEDHA ZAKE ZAKIFISADI IDARA ZAUSALA ZIMFUWATE NAKUMWAMBIA HUTUFAI, NA AKIKATA WEKEN MAMBO YAKE HADHARANI. MIM NAWEZA KUSEMA KWA SIS WAFUWATILIAJI WA MAMBO HIV KARIBUN IDARA ZAUSALAMA ZIMEKUWA ZIKIFANYA A GOOD JOB KUFICHUA MAUJINGA YA VIONGOZ TWENDE MBELE TURUD NYUMA ISSUE KAMA YA RICHMOND, WIZ WA FEDHA WA EPA, KUKAMATWA KWA AKINA YONA NA MWENZAKE MRAMBA NI UWAJIBIKAJ MKUBWA WAKIUSALAMA UKIHUSISHA WATU WALIOKUNYWA MAJI YA BENDERA YA TAIFA TZ KUMEFANYA HALI KUWA NZURI, PIA HUYU RAIS MIM NA AMIN ANAJITAID KWA KIAS KIKUBWA SEMA TU WAJINGA WACHACHE WANAMUARIBIA. SO MIM NAÖNA UTARATIBU MZURI KUWA PATA MAWAZIR NI ULE WAKUWA TENGA NA SIASA YAN BUNGE LIWACHAGUE WAKISAIDIANA NA RAIS, PIA WASIWE WANATOKA KTK CHAMA CHOCHOTE ILI IWE RAHISI KUWA WAJIBISHA, UNAJUWA MTU KAMA KATOKA CCM NA NIWAZR KAFANYA UJINGA INAKUWA NGUMU KUMUWAJIBISHA, SO TWATAKA KUPATA MAWAZIR WAZUR BUNGE LIWAPITISHE KWA KURA, KWASABABU UKIANGALIA KWA KINA KUNAMAWAZIR WANAFANYA KAZ KWA KUTOKUWA MAKIN WAKIJUWA BWANA MKUBWA NDIE KAWAWEKA SO INALETA DHARAU. SO KAMA BUNGE LITAWAPITISHA ITAKUWA RAHS KUWAWAJIBISHA KISHERIA KWAVILE WABUNGE WANA WAWAKILISHA WANANCHI.. I LOVE TANZANIA
 
Mh! Kilango kachem. UNAJUWA KAMA KWEL TUNATAKA KUWA NA MAWAZIRI SAFI, NAVIONGOZ WOTE WAZURI NILAZIMA TUIMARISHE IDARA ZA INTELLIGENSIAN KTK KUWAPATA VIONGOZI, UNAJUWA MIM BINAFS NIMEVUTIWA SANA NA USA, KWAKWEL WANA UMAKIN MKUBWA KTK KUWAJUWA VIONGOZI, KWAKWEL WAMEPIGA HATUWA KIAS WANAIDARA MAALUMU ZAKIUSALAMA KTK KUFUWATILIA NAKUJUWA WALE WANATAKA KUWA VIONGOZ KAMA KWEL NI WAADILIFU AU LAA, SIO SIRI WAPO MAKINI KTK KUJUWA KAMA MTU ANAYE TAKA KUA KIONGOZ NIMLIPAJI WAKODI MZURI,MAHUSIANO YAKE NA KILA KITU KINAMUHUSU, HAPA TANZANIA WEZ NDIO WANAONGOZA, NAMANISHA UKIENDA FUWATILIA MIRADI NA MAMBO MENG YAVIONGOZ UTAKUTA WANAKWEPA KODI, HATA MATAJIR WENG HAPA TZ WANAKWEPA KODI KINYEMELA VIA VYAMA VYA SIASA NA TAASISI ZA KIDIN SASA HATUWEZ KUMPATA WAZIRI MZURI AU RAIS KAMA HATUNA IDARA ZAKIUSALAMA KUWAFUWATILIA, TUFIKE MAHALI MTU KABLA YAKU2PA FEDHA ZAKE ZAKIFISADI IDARA ZAUSALA ZIMFUWATE NAKUMWAMBIA HUTUFAI, NA AKIKATA WEKEN MAMBO YAKE HADHARANI. MIM NAWEZA KUSEMA KWA SIS WAFUWATILIAJI WA MAMBO HIV KARIBUN IDARA ZAUSALAMA ZIMEKUWA ZIKIFANYA A GOOD JOB KUFICHUA MAUJINGA YA VIONGOZ TWENDE MBELE TURUD NYUMA ISSUE KAMA YA RICHMOND, WIZ WA FEDHA WA EPA, KUKAMATWA KWA AKINA YONA NA MWENZAKE MRAMBA NI UWAJIBIKAJ MKUBWA WAKIUSALAMA UKIHUSISHA WATU WALIOKUNYWA MAJI YA BENDERA YA TAIFA TZ KUMEFANYA HALI KUWA NZURI, PIA HUYU RAIS MIM NA AMIN ANAJITAID KWA KIAS KIKUBWA SEMA TU WAJINGA WACHACHE WANAMUARIBIA. SO MIM NAÖNA UTARATIBU MZURI KUWA PATA MAWAZIR NI ULE WAKUWA TENGA NA SIASA YAN BUNGE LIWACHAGUE WAKISAIDIANA NA RAIS, PIA WASIWE WANATOKA KTK CHAMA CHOCHOTE ILI IWE RAHISI KUWA WAJIBISHA, UNAJUWA MTU KAMA KATOKA CCM NA NIWAZR KAFANYA UJINGA INAKUWA NGUMU KUMUWAJIBISHA, SO TWATAKA KUPATA MAWAZIR WAZUR BUNGE LIWAPITISHE KWA KURA, KWASABABU UKIANGALIA KWA KINA KUNAMAWAZIR WANAFANYA KAZ KWA KUTOKUWA MAKIN WAKIJUWA BWANA MKUBWA NDIE KAWAWEKA SO INALETA DHARAU. SO KAMA BUNGE LITAWAPITISHA ITAKUWA RAHS KUWAWAJIBISHA KISHERIA KWAVILE WABUNGE WANA WAWAKILISHA WANANCHI.. I LOVE TANZANIA
 
Nimewahi kusema wewe ni mtoto wa Malecela! Wapi ndugu yangu? Sina sumu yoyote kwa yeyote. Niko huru kwelikweli. Sifungamani na yeyote, kikundi chochote, chama chochote. Ndio maana utaniona CCM, utaniona CHADEMA, utaniona kwa JK, kwa Mbowe, kwako, ili mradi tu uongee hoja yenye mshiko, inayojitosheleza bila matusi, kejeli....

- Bwa! ha! ha! vipi huna hoja ya kulisaidia taifa lako? Na by the way vipi Kada Mpinzani siku hizi yupo wapi maana si huwa mnafamiana? au? Bwa! ha! ha!


- Na huwa sio tabia yangu kuwashambulia bila sababu helpless women kama Mama Kilango, wanaojaribu kutusaidia kwenye uongozi wa taifa, ndio maana wakishambuliwa bila sababu ninajibu mapigo tena kiroho mbaya sana!

Es!
 
Sijaona sababu za kuwa na Mawaziri ambao wanachaguliwa moja kwa moja na wananchi. Sioni tija itakayotokana na uamuzi wa Baraza la mawaziri la namna hiyo.

Ni vyema uteuzi wa mawaziri ukapitishwa na Bunge kwa kuzingatia mabo kadhaa. Baadhi ni kama yafuatayo;
1. Uwezo wao kiutendaji wa kazi
2. Majukumu na vipaumbele vilivyopo
3. Elimu
4. Nidhamu
5. Historia yao
6. Mengineyo

Kwa utaratibu wa sasa,ambao waziri ni rafiki wa Rais na uteuzi wake unazingatia hilo pekee, ndio chimbuko la udhaifu wa serikali ambao tunaushuhudia katika awamu zote za uongozi wa nchi.

Ni vyema pia Rais akapata usaidizi wa namna ya kufanya uteuzi wa Mawaziri. Namna ninayoona ni bora, ni kuwa na mawaziri wasio na wadhifa mwingine wowote (hata Ubunge), wafanyiwe tathmini kabla ya kuteuliwa (kwa kuangalia CV zao, n.k)

- Mkuu Recta, I concur with your points na tupo pamoja sana hapo.

Respect,


FMEs!
 
..sijui kama yafuatayo yanawezekana:

1.Mawaziri wasiwe wabunge.

2.Mawaziri wasiwe wanachama wa chama chochote kile. kama ni wanachama sheria ielekeze kwamba hawatajishughulisha na shughuli za vyama vyao kwa kipindi watakachokuwa mawaziri. hii itasaidia wabunge wasipitishe bajeti kwa kusukumwa na ushabiki wa vyama vyao.

3.Mawaziri wawekewe kipindi cha miaka 5, as a gap, ambapo hawataweza kugombea Ubunge baada ya ku-serve kama Mawaziri.

4.Wabunge wawekewe utaratibu huohuo, kwamba ukitoka kwenye ubunge, basi lazima ipite miaka 5 kabla hujateuliwa kuwa Waziri.

5.Uteuzi wa Mawaziri ufanywe na Raisi. Uteuzi huo uridhiwe na Bunge kwa wateuliwa kuhojiwa na kamati za kisekta za Bunge na baadaye kupigiwa kura ya siri na bunge zima.

6.Bunge lipewe mamlaka ya kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri anayekiuka maadili ya kazi yake.
 
Mama Kilango mwenyewe itabidi akanushe hili.

Mustaadhi,



Unataka akanushe au abadilishe usemi? Mkuu chongo ni chongo tu usianze kutamani kiwe kengeza. Ms. Kilango is exactly what you wish she is not, a populist and academically challenged.
  1. Kama kawaida ya ma-populist hujaribu kujipamba kwa wananchi ingawa labda ni wachafu. Huyu mama yupo kwenye timu ya Malecela kila siku sasa kama anayofanya sio maigizo utajaza mwenyewe. Utaona wazi kuwa, hapa mama Kilango alikuwa anajaribu kujipamba kwa wananchi against the recent popular "EVIL" (i.e. JK but she can't attack him only his mawaziri).
  2. Kwa upande mwingine hili ni tatizo la digrii za kupewa na mazoea ya kupayuka. Ukizoea kufungua mdomo kwa ajili ya umaarufu na sio kwa sababu za kweli juu ya mambo yanayowaumiza watu, upupu mara nyingine utatoka maana huwa hutumii ubongo wako, especialy unapokuwa academicaly challenged.
 
..sijui kama yafuatayo yanawezekana:

1.Mawaziri wasiwe wabunge.

2.Mawaziri wasiwe wanachama wa chama chochote kile. kama ni wanachama sheria ielekeze kwamba hawatajishughulisha na shughuli za vyama vyao kwa kipindi watakachokuwa mawaziri. hii itasaidia wabunge wasipitishe bajeti kwa kusukumwa na ushabiki wa vyama vyao.

3.Mawaziri wawekewe kipindi cha miaka 5, as a gap, ambapo hawataweza kugombea Ubunge baada ya ku-serve kama Mawaziri.

4.Wabunge wawekewe utaratibu huohuo, kwamba ukitoka kwenye ubunge, basi lazima ipite miaka 5 kabla hujateuliwa kuwa Waziri.

5.Uteuzi wa Mawaziri ufanywe na Raisi. Uteuzi huo uridhiwe na Bunge kwa wateuliwa kuhojiwa na kamati za kisekta za Bunge na baadaye kupigiwa kura ya siri na bunge zima.

6.Bunge lipewe mamlaka ya kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri anayekiuka maadili ya kazi yake.

Nakubaliana na mapendekezo yako karibu yote. #3&4??? Kwa kifupi ni kuwa kinachotakiwa TZ ni kuwepo kwa mabadiliko makubwa ya katiba. Wataalam huru wakitumiwa, hata kama ni maprofessor wa Harvard, Oxford, UDSM n.k., pamoja na maoni ya wananchi, vyama vya siasa, jumuiya mbalimbali za wananchi n.k. tungeweza kutatua mengi nchini badala ya kuziba viraka kila magumu yakitufika tena mpaka wakuu fulani ndani ya CCM wanapoona inafaa kwa maslahi yao.
 
Tanzania courageous MP leads the way

Written by Magutu, B. | 01 May 09

Popular member of Parliament (MP) Anne Kilango Malecela received the honour of the Tanzania Woman of Courage Award 2009, bestowed by the United States Embassy in Tanzania. The annual award recognised Malecela’s courage and leadership in struggles to improve the lives of Tanzanians when she challenged party leadership to confront the question of corruption, despite the threat this posed to her personal safety.





Mustaadhi,



Unataka akanushe au abadilishe usemi? Mkuu chongo ni chongo tu usianze kutamani kiwe kengeza. Ms. Kilango is exactly what you wish she is not, a populist and academically challenged.
  1. Kama kawaida ya ma-populist hujaribu kujipamba kwa wananchi ingawa labda ni wachafu. Huyu mama yupo kwenye timu ya Malecela kila siku sasa kama anayofanya sio maigizo utajaza mwenyewe. Utaona wazi kuwa, hapa mama Kilango alikuwa anajaribu kujipamba kwa wananchi against the recent popular "EVIL" (i.e. JK but she can't attack him only his mawaziri).
  2. Kwa upande mwingine hili ni tatizo la digrii za kupewa na mazoea ya kupayuka. Ukizoea kufungua mdomo kwa ajili ya umaarufu na sio kwa sababu za kweli juu ya mambo yanayowaumiza watu, upupu mara nyingine utatoka maana huwa hutumii ubongo wako, especialy unapokuwa academicaly challenged.


- Bwa ! haa! ha! kumbe Sate Dept, ya US watoaji wa zawadi kwa Mheshimiwa Mbunge Super K, nao wana chongo na makengeza inachekesha sana kutoka kwa Great Thinker Bwa! ha! yale yale tutabdili rangi mpaka mwisho wa dunia lakini sumu ni zile zile, taifa liko pale pale linahangaika tu na wanojiita wasomi uchwara wa PhD za online! hata kujibu hii ni kupoteza muda buree!

es!
 
Kwa jinsi alivyo mwanamapinduzi lazima tu atakuwa hapa. Na ndo mana nikasema akanushe. Inawezekana hakueleweka.

Kionambele,
Kwani Ms. Malecela amefanya mapinduzi gani?

Huyu mama anawapiga tu changa la macho halafu jioni anaingia ndani nyumbani kwake na kukaa na makabaila wengine kunywa wine zao na kutucheka makabwela.

Yeye ni mmoja wao ila lazima apige kelele kwenye magazeti na bungeni ili aendelee kubaki kwenye ubunge maana jimboni kwake sio mchezo.
 
Mama Malecela,

I have seen and read about the anger and hatred that mafisadi in Tanzania are constantly making to getting into what you do in the parliament. I have just got a complete picture of how Serukamba and his sore losers tried to demonize you and your work in the last ccm NEC. It has been leaked to me that mafisadi in the ruling party are planning a hit job on you. It has (by the name of who... I dunno) just been handed to me - a confidential but crazy plan to wipe out your political career.

Mama Malecela, this is just the time for you to know that I (and everybody I know) am with you on everything you do. Your work is outstanding and our country is very proud to have you mama. We all love you and are constantly praying for you.

This is for you Mama Anne Kilango Malecela.
May GOD and all the gods bless your work and protect your soul.

Amen!


Kionambele,
Kwani Ms. Malecela amefanya mapinduzi gani?

Huyu mama anawapiga tu changa la macho halafu jioni anaingia ndani nyumbani kwake na kukaa na makabaila wengine kunywa wine zao na kutucheka makabwela.

Yeye ni mmoja wao ila lazima apige kelele kwenye magazeti na bungeni ili aendelee kubaki kwenye ubunge maana jimboni kwake sio mchezo.


The President & Fund Raising For Same East

ORTON KIISHWEKO, 8th October 2009

A FUNDRAISING function aimed at raising about 1.5bn/- to construct a ginger plant in East Same, Kilimanjaro Region could turn around lives of local farmers as there was a ready market for the crop. As ambassador of Kilimo Kwanza initiative, President Jakaya Kikwete is expected to grace the fundraising occasion will next week. The event seeks to collect money for setting up a processing factory in the area. East Same is the largest producer of ginger in the country.

The plant, when erected, is expected to generate 5.7bn/- from both powder and ginger chips during the first year of production. It is expected that about 10 tons of ginger will be produced every day once it was operational. The Same East legislator, Ms Anne Kilango Malecela announced in Dar es Salam this week that the plant will save the local farmers in the area from the trouble of sourcing commercial bank loans. The project, which has already sourced 122m from three philanthropists, will be the first of its kind to process high quality organic ginger in the country.

The farmers had already established Mamba Ginger Growers' Rural Cooperative Society Limited in order to boost crop production in the area. The National Social Security Fund (NSSF), Complex Ltd and the Prime Minister's Office had contributed altogether about 50m/- towards the construction of a cooperative building in the constituency. The fundraising event will be broadcast live on Channel television from 7.30m on October 16, this year. The event is being coordinated by the Executive Solutions Limited.

Invitation cards were already on sale at 100,000/- per person for combined dinner and fashion exhibition to be hosted by Mustafa Hasanali and the artist Kalora Kinasha and the New Africa Band will be in attendance. "To us, this will be a green revolution in farming as it will offer both permanent employment for the local population ,"she said. According to the MP, the farmers had been earning as low as 200/- per kilogramme of ginger but would now fetch 4000/- for processed kilogramme of the produce with ready markets in Netherlands, SouthAfrica, Uganda, Malawi and Kenya .

"Due the increased interest in ginger farming in the area, it is expected that the production will double this year," said Malecela.


- Endelea mkuu tupo pamoja sana. na tizama wananchi wengine walivyo na muono tofauti na wako ambayo ndio Demokrasia haswaaa!


es!
 
- Bwa ! haa! ha! kumbe Sate Dept, ya US watoaji wa zawadi kwa Mheshimiwa Mbunge Super K, nao wana chongo na makengeza

es!


Pasco,
Kwa FMES huyu mama ni kama vile huwa hakosei, hatelezi na wakati mwingine anafikiri na kuamua kwa niaba yake!




FMES,
Like others, I too expected you, FMES as always since time immemorial, to come to her defence.

By the way;
  1. What does kuchemsha kwake mama Kilango has to do with a calculated award from the embassy?
  2. What do the State Department knows about Tanzanian/African politics?
  3. In their praises, did they mention that her hubby is the dean of the same party that is accused of being a "THREAT TO HER PERSONAL SAFETY"?
  4. Is the US embassy, the same that is perpetualy praising JK and his predecessor?
  5. What did she realy do to deserve an award/praise?
  6. Can you list her achievements?
Msitupige changa la macho hapa. Ms. Kilango ndio hao hao. Anajua kuwa aliununua ubunge jimboni kwake na sasa, kama Lowassa, anajaribu kutumia vyombo vya habari ili asisahaulike jimboni kwake.

Wapiganaji wetu wa kweli tunawajua na wale wanaotupiga changa la macho tunawajua vile vile.
 
Anne Kilango Rejects Report.

LEVINA KATO, 12th January 2010

THE Parliamentary Committee for Infrastructure has rejected a report tabled by the Tanzania Roads Agency (Tanroads), stating that it has failed to adequately address the state of the country’s road network among other vital inputs. The committee, which met at the Karimjee Hall in Dar es Salaam on Monday under its Vice-Chairperson, Same East MP Anne Kilango-Malecela, has directed the agency to prepare a fresh report and present it next Tuesday.

According to the committee, the report has failed to address the state of road network, budgetary resources for road projects and mini-budget for emergency plans. The report was also presented before the committee without being submitted to the Ministry of Infrastructure Development, contrary to procedures. Members of the committee were also surprised to learn that the Director of Transport Infrastructure, Mr Musa Iyombe, was given the report at the venue, which means that it lacked the ministry’s opinion.

The committee also rejected the report because the agency did not incorporate key issues that give a thorough analysis of achievements and challenges of the road sector. We have decided to take the issue of infrastructure seriously because of its sensitivity; you should bring us a comprehensive report with analysis of all key issues,” Ms Kilango-Malecela said in her directive to both Tanroads Chief Executive Officer, Mr Ephraim Mrema and Mr Iyombe.

To allow more time for the meeting, the committee has cancelled a visit to the Mbeya Institute of Science and Technology (MIST) scheduled for next week. The poor quality of roads constructed by the Chinese companies will also feature in the agenda of the planned meeting on January 19 and 20.

“Tanzania spends a lot of money to pay the Chinese contractors for hiring of experts and acquisition of equipment but I have always been wondering about the quality of those roads; do they really have the capacity?”, one of the committee members, Ukerewe MP Ms Gertrude Mongella queried.

Noting that China has the best quality roads and best construction companies that build quality roads in other countries, Ms Mongella wondered why the same Chinese companies built low standard roads in Tanzania.

The MP directed Tanroads to give a detailed background of all Chinese companies undertaking construction works in the country. The committee advised the agency to incorporate the private sector and army in the rehabilitation work in the wake of the massive destruction of the infrastructure caused by the ongoing heavy rains.

Mr Iyombe admitted that the report was flawed and promised to present detailed report in the next meeting. “I assure you that we would bring an undisputable report next time,” he promised. The committee asked the Director of Transport Infrastructure and the ministry’s Permanent Secretary, Engineer Omar Chambo, to attend the meeting.


FMES,
Like others, I too expected you, FMES as always since time immemorial, to come to her defence.

By the way;
  1. What does kuchemsha kwake mama Kilango has to do with a calculated award from the embassy?
  2. What do the State Department knows about Tanzanian/African politics?
  3. In their praises, did they mention that her hubby is the dean of the same party that is accused of being a "THREAT TO HER PERSONAL SAFETY"?
  4. Is the US embassy, the same that is perpetualy praising JK and his predecessor?
  5. What did she realy do to deserve an award/praise?
  6. Can you list her achievements?
Msitupige changa la macho hapa. Ms. Kilango ndio hao hao. Anajua kuwa aliununua ubunge jimboni kwake na sasa, kama Lowassa, anajaribu kutumia vyombo vya habari ili asisahaulike jimboni kwake.

Wapiganaji wetu wa kweli tunawajua na wale wanaotupiga changa la macho tunawajua vile vile.

- Very interesting, unajua unapotumia hiii ID huwa unaonekana objective japo kidogo, sasa nashangaa kwa nini unataka kuiharibu na hii kwa sababu sometimes kwenye hili jina hua unaongea points sana, na punguza jazba, hasira, chuki, fitina na wivu.

es!
 
Quote:



Mama Malecela,

I have seen and read about the anger and hatred that mafisadi in Tanzania are constantly making to getting into what you do in the parliament...........

The President & Fund Raising For Same East

ORTON KIISHWEKO, 8th October 2009

A FUNDRAISING function aimed at raising about 1.5bn/- to construct a ginger plant in East Same, Kilimanjaro Region could turn around lives of local farmers as there was a ready market for the crop. As ambassador of Kilimo Kwanza initiative, President Jakaya Kikwete is expected to grace the fundraising occasion will next week.

The fundraising event will be broadcast live on Channel television from 7.30m on October 16, this year. The event is being coordinated by the Executive Solutions Limited.
- tizama wananchi wengine walivyo na muono tofauti na wako ambayo ndio Demokrasia haswaaa!

es!

Mkuu FMES,
Kama inakuwa Demokrasia kwa vile umem-quote Mwaafrika wa Kike, hicho ni kichekesho cha mwaka. Kama ngonjera za Mwaafrika wa Kike anayempiga mawe Zitto kila kukicha humu mtandaoni ndio unaona ni sifa nukuu kwa mama Malecela, then you are are in big trouble.




Then unapoleta hii article ya mradi wa Ginger, I think you are exactly proving my point, she is a populist. A fundraising occasion is mega phoned in newspapers and TVs with high note that president JK himself will be in attendance. This is clearly giving us a picture of Mama Kilango as;
  1. How closely linked to JK this lady is.
  2. How similar she is to Lowassa in using the media to popularize herself.
No matter how good looking this project is, it is too late to qualify it as an honest efforts to help her constituency when it comes in an election year. I hope huo mradi utatimia maana unaonekana wazi kama ni kiini macho au ni bakshish nyingine kwa ajili ya uchaguzi.

By the way, the last time I checked Mama Kilango alikuwa Mbunge kwa miaka 4+. Sasa kwa mradi usiotegemea bajeti ya serikali, sijui ulikuwa unangojea nini hadi hivi sasa?

Conclusion yangu inabaki ile ile kuwa, mama Kilango is a good populist and academically challenged. We need neither of the two qualities in our leaders.
 
Mbunge huyu awe mfano

Dk. Shukuru Kawambwa akimtwisha ndoo ya maji mkazi wa Same Mashariki wakati akizindua miradi ya maji ya kisima iliyojengwa kwa juhudi za mbunge wa jimbo hilo Bi. Anne Kilango Malecela.

Mwishoni mwa mwaka 2007 aliyekuwa Waziri wa Maji Dk. Shukuru Kawambwa alifanya ziara katika mikoa ya Kilimanjaro, Mwanza, Mara na Shinyanga, ziara iliyokuwa na lengo la kukagua ujenzi wa miradi ya maji pamoja na kuzindua visima vya maji. Kati ya mikoa hiyo aliyotembelea mhe. Waziri wa Maji mkoa wa Kilimanjaro ziara yake ilielemea zaidi kwenye uzinduzi wa visima tofauti na mikoa mingine. Wilayani Same katika jimbo la Same Mashariki Dk. Kawambwa alizindua jumla ya visima ishirini vyenye thamani ya shilingi milioni 40 kwenye tarafa ya Gonja katika zile kata za Mtii, Bombo, Vuje pamoja na ile tarafa ya Ndugu kata ya Kihurio.

Visima vyote alivyozindua Dk. Kawambwa vimefungwa kwa pampu za mkono na kufuata vyanzo vya asili lengo likiwa kurahisisha upatikanaji maji hasa ikizingatiwa upatiakanaji maji chini ya ardhi ya milima ni migumu.Miradi hiyo ya visima iliyozinduliwa Wilayani Same imeinua asilimia ya upatikanaji wa maji ya bomba kutoka makisio ya asilimia 5 katika kata ya Mtii hadi 30, asilimia 20 kata ya Vuje hadi 35, asilimia 43 kata ya Kihurio hadi 62 na ile asilimia 12 kata ya Bombo hadi 25.

Wakati wa ziara yake katika jimbo hilo la Same Mashariki Dk. Kawambwa alipongeza jitihada binafsi za mbunge wa jimbo la Same Mashariki Bi. Anne Kilango Malecela za kuasaidia upatikanaji huduma za majisafi na salama katika jimbo lake kutoka asilimia 46.5% hadi 49% Pongezi hizo za Waziri wa Maji kwa mhe. Anne Kilango Malecela zinastahili kabisa kwa kuwa mbunge huyo alipagana kufa na kupona kuhakikisha anawapatia wapiga kura wake huduma ya majisafi pasipo kuitegemea zaidi serikali.

Nilipozungumza naye, mbunge huyo wa jimbo la Same Mashariki alisema anajisikia faraja sana anapoona wapiga kura wake wanapata huduma ya majisafi na salama jambo alilosema lilikuwa likimuumiza kichwa kwa muda mrefu.

Aliongeza kwa kusema, upatikanaji huduma hiyo ni jitihada yake binafsi ya kusaka wafadhili wa kumsaidia kuwapatia huduma hiyo ya maji wananchi wake ambayo imekuwa adimu jimboni mwake na wilaya nzima ya Same. Aliyataja baadhi ya makampuni yaliyomsaidia kufadhili ujenzi wa miradi hiyo ya visima kuwa ni kampuni za simu za Tigo na Vidacom, mamlaka ya Bandari Tanzania (PTA) pamoja na kampuni ya kifaransa ya Express Lited. ‘’Makampuni ya ndani nayo yanafadhili sana ili mradi mtu ujue namna ya kuandika proposal yako’’ Alisema Bi. Kilango

Alieleza kuwa, mkakati wake wa kuawapatia wananchi wa jimbo la Same Mashariki huduma ya majisafi umelenga kwenda kata hadi kata na kuongeza kuwa yeye akiwa mbunge atajisikia faraja sana pale atakapoona wapiga kura wake wanapata huduma ya majisafi na salama katika kiwango cha asilimia mia moja. Kwa upande wake Dk. Kawambwa alisema katika kuhakikisha tatizo la maji linatokomezwa mkoani Kilimanjaro serikali iko mbioni kuanzisha mradi mkubwa wa kitaifa unaojulikana kama mradi wa Tambararre ya Pare, mradi unaokadiriwa kugharimu shilingi bilioni 38.

Kwa mujibu wa Dk. Kawambwa, mradi huo utakapokamilika utanufaisha vijiji 36 kutoka wilaya za Same na Mwanga zilizoko mkoani Kilimanjaro na ile sehemu ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga. Vijiji vitakavyonufaika na mradi huo mkubwa ni vile vya Hedaru, Mabilioni, Gevao, Makanya,Mgurasi,Bangalala,Chajo,Mwembe,Njoro,Ruvu mferejini,Ruvu jiungeni,Majengo,Bendera,Mkonga Ijinyu na Mgandu vyote kutoka wilaya ya Same.

Vingine ni Kifaru,Kiruru Ibwejewa,Kisangara, Lembeni , Kiverenge,Kiti cha Mungu,Mbambua, Kileo,Kivulini,Kituri,Mgagao,Handeni,Langata Bora,Langata Kangongo, Nyabinda na kijiji cha Kirya vyote kutoka Wilaya ya Mwanga.
Kwa upande wa Wilaya ya Korogwe maeneo yatakayofaidika ni vijiji vya Bwiko,Mkomazi, Nanyogie,Manga, Mtindilio na Mikocheni Waziri huyo wa Maji alibainisha kuwa, katika kuhakikisha mradi huo unaanza haraka tayari serikali imeomba ufadhili wa mradi huo kutoka Benki ya Kiarabu ya Maendeleo ya Afrika (BADEA) ili isaidia ujenzi wa mradi.


Mbali na jitihada zinazooneshwa na serikali kuwapatia wananchi wa Wilaya ya Same huduma ya majisafi na salama lakini bado juhudi binafsi zilizooneshwa na mbunge wa Jimbo la Same Mashariki Bi. Anne Kilango Malecela ambaye hivi karibuni alijipatia umaarufu katika sakata la Richmond zinapaswa kuigwa na wabunge wengine wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mara kwa mara tunashuhudia malalamiko ya baadhi ya wabunge kuilaumu serikali kushindwa kupeleka huduma kwa wananchi ikiwemo huduma ya majisafi na salama, kwa kiasi fulani lawama hizo zinaweza kustahili lakini isiwe kigezo cha mbunge kuacha kufanya juhudi za kuwapelekea maendeleo wapiga kura wake kwa kisingizio cha serikali kufanya kazi hiyo.

Iwapo wabunge wataiga mfano wa Bi. Anne Kilango Malecela basi uwezekano mkubwa wa Tanzania kupiga hatua katika nyanja tofauti ni mkubwa sana kwani kila mtu atakuwa anajua wajibu wake kama mbunge na kamwe hawezi kuwa tegemezi wa serikali. Mbunge huyo machachari alisema mtazamo wake mkubwa kwa sasa kama mbunge ni kutaka kuwaona wapiga kura wake wakiishi maisha mazuri na kuondokana na umasikini na magonjwa ambavyo vyote kwa pamoja vinaweza kuwafanya warudi nyuma kimaisha.


Mkuu FMES,
Kama inakuwa Demokrasia kwa vile umem-quote Mwaafrika wa Kike, hicho ni kichekesho cha mwaka. Kama ngonjera za Mwaafrika wa Kike anayempiga mawe Zitto kila kukicha humu mtandaoni ndio unaona ni sifa nukuu kwa mama Malecela, then you are are in big trouble.



Then unapoleta hii article ya mradi wa Ginger, I think you are exactly proving my point, she is a populist. A fundraising occasion is mega phoned in newspapers and TVs with high note that president JK himself will be in attendance. This is clearly giving us a picture of Mama Kilango as;
  1. How closely linked to JK this lady is.
  2. How similar she is to Lowassa in using the media to popularize herself.
No matter how good looking this project is, it is too late to qualify it as an honest efforts to help her constituency when it comes in an election year. I hope huo mradi utatimia maana unaonekana wazi kama ni kiini macho au ni bakshish nyingine kwa ajili ya uchaguzi.

By the way, the last time I checked Mama Kilango alikuwa Mbunge kwa miaka 4+. Sasa kwa mradi usiotegemea bajeti ya serikali, sijui ulikuwa unangojea nini hadi hivi sasa?

Conclusion yangu inabaki ile ile kuwa, mama Kilango is a good populist and academically challenged. We need neither of the two qualities in our leaders.
 
Kama kweli alisema hivo basi, mama Anne Kilango atakuwa amechemsha hapa. Mawaziri ni watumishi wa executive branch ya serikali, wanateuliwa na rais. Kama serikali ikiboa, wananchi wakamfukuza rais kazi, basi na mawaziri nao wanakuwa wamefukuzwa. Ukishakuwa na mawaziri waliochaguliwa itakuwa ni vigumu kuiabana serikali kwa jumla.

Kosa letu ni hili la kuwa na mawaziri ambao ni wabunge; huu ni utaratibu wa kiingereza, ambapo waziri mkuu mwenyewe ni mbunge na anataokana na chama chenye wabunge wengi; kwao serikali kuu ni sehemu ya bunge, Sisi tunaochagua Rais akiwa si mbunge, serikali kuu yetu siyo sehemu ya bunge kwa hiyo mawaziri inabidi wasiwe wabunge.
 
Mmeshaambiwa kuwa Bunge halina madaraka juu ya serikali zaidi ya kushauri; msimamo huo haujakanushwa na Mwanasheria Mkuu wala Rais, hivyo unasimama. Sasa kwanini mfikirie kuwa Bunge linaweza kuwa na nguvu ya kuamua nani awe waziri na nani asiwe?
 
Kama kweli alisema hivo basi, mama Anne Kilango atakuwa amechemsha hapa. Mawaziri ni watumishi wa executive branch ya serikali, wanateuliwa na rais. Kama serikali ikiboa, wananchi wakamfukuza rais kazi, basi na mawaziri nao wanakuwa wamefukuzwa. Ukishakuwa na mawaziri waliochaguliwa itakuwa ni vigumu kuiabana serikali kwa jumla.

Kosa letu ni hili la kuwa na mawaziri ambao ni wabunge; huu ni utaratibu wa kiingereza, ambapo waziri mkuu mwenyewe ni mbunge na anataokana na chama chenye wabunge wengi; kwao serikali kuu ni sehemu ya bunge, Sisi tunaochagua Rais akiwa si mbunge, serikali kuu yetu siyo sehemu ya bunge kwa hiyo mawaziri inabidi wasiwe wabunge.

- Ndipo hapo tu unaweza kuona tofauti ya mtu mwenye shule na asiyekua nayo, ahsante Mwalimu maneno yako ni fair na nivery balanced na ndio Great Thinking yenyewe tunayoisema hapa kila siku.

Respect.


FMEs!
 
Anne Kilango Rejects Report.

LEVINA KATO, 12th January 2010

THE Parliamentary Committee for Infrastructure has rejected a report tabled by the Tanzania Roads Agency (Tanroads), stating that it has failed to adequately address the state of the country’s road network among other vital inputs. The committee, which met at the Karimjee Hall in Dar es Salaam on Monday under its Vice-Chairperson, Same East MP Anne Kilango-Malecela, has directed the agency to prepare a fresh report and present it next Tuesday.

Anne Kilango awa mwiba kwa wawakilishi wa kampuni za simu
Sadick Mtulya, Date::1/14/2010
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, jana ililazimika kuwatoa nje ya kikao, wawakilishi wa kampuni za simu nchini, wakati ilipokuwa ikijadili muswada kuhusu sheria ya mawasiliano wa 2009.


- Very interesting, unajua unapotumia hiii ID huwa unaonekana objective japo kidogo, sasa nashangaa kwa nini unataka kuiharibu na hii kwa sababu sometimes kwenye hili jina hua unaongea points sana, na punguza jazba, hasira, chuki, fitina na wivu.

es!

Mkuu FMES,


Kila unacholeta hapa kinazidi kuonyesha jinsi gani mama Kilango anavyo penda kujionyesha kuwa ni mpiganaji na sasa element ya ufujaji wa mali ya umma inaanza kuonekana ndani yake. Ripoti ni ya kamati lakini;
  1. Sijui ni nani anawaambia hawa waandishi waseme kuwa Kilango ndiye kafanya yaliyofanyika na sio kamati. I hope ni kosa la waandishi, maana waandishi wa bongo siku hizi wanaandika anayotaka mtoa bakhshish na sio habari ilivyo. Kumbuka Lowassa ndio ulikuwa mchezo wake huu.
  2. Kwa nini kamati inakutania Diamond Jubilee wakati kuna ofisi za bunge. Yale yale yaBOT ya kutokuangalia tunatumiaje mali za uma. Huu ni ufujaji.
  3. Inakuwaje hii kamati mambo yake yote yanaandikwa kuwa ni mama Kilango kafanya, kasema, katimua mtu n.k.? Wengine hawana michango? Yuko wapi mwenyekiti wa kamati maana Mama Kilango ni VP? It look suspicious for the Chair not to be around and the media to then start praising the VP for decissions made by the commitee?
Jamani, hivi ina maana wabunge wengine hawaonekani na waandishi wa habari maana kila kukicha ni Kilango, Kilango, Kilango.........what is going on?

Ms. Kilango anaonyesha wazi kuwa anavitumia vyombo vya habari kuwashawishi watu kuwa ni mpiganaji wakati maamuzi yake ni ya utata na maoni yake ni shallow.


Ukiangalia sana utaona kuwa Mama Kilango Malecela hana tofauti sana na Lowassa except Lowassa alikaa darasani na kupata degree yake.

They both try to use the media to shape our minds.

Let's go back to the subject yetu ya mawaziri kuchaguliwa maana tukiandelea kuongelea utata wa mama Malecela, we might end up praising Ms. Simba.
 
Back
Top Bottom