Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,468
HILI NDIYO TATIZO LA UNGA UKIZIDI MAJIMBUNGE wa Same Mashariki, ameponda mfumo wa kuwapata mawaziri na kupendekeza kuwa wachaguliwe na wananchi kama ilivyo kwa rais.
Soma habari kamili hapa:
http://tzlivenews.com/blogs/blog/3405-anne-kilango-ataka-mawaziri-wachaguliwe-na-wananchi.html
Hivi mawaziri waziri [at least most of them] si wabunge waliochaguliwa na wananchi???
Sasa hali kama ikiwa hivyo anavyopendekeza huyu mama uwajibikaji wa serikali utakuwaje??? Maana kwa hivi sasa Rais ndiye anayewajibika kwa wananchi kuhusu utendaji wa serikali. Hivi hawa wakubwa huwa wanatafakari kauli zao kabla kuzitoa au ndiyo wakati wa kampeni umefika????