Izack Mwanahapa
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 497
- 236
Leo asubuhi katika Jambo Tanzania TBC, Anne Kilango Malechela amesema kati vifungu ambavyo havitabadilika katika muswada wa katiba ni kile cha Rais kuunda tume ya Katiba na kuhalalisha hilo amesoma Bibilia mstari unaosema kwamba tiini mamlaka iliyopo akisisitiza kuwa ni lazima mkuu wa nchi kuteua baraza la katiba.