Huyu bibi hajui kusoma alama za nyakati, kielelezo cha yeye kutokukubalika ni pale yeye na mumewe walipotaka kumpandikiza mwanae wa kambo kuwa mbunge wa Afrika ya Mashsriki na wakaambulia patupu na yeye sasa ataambulia patupu kwenye kinyang'anyiro cha uenyekiti wa UWT anaounyemelea ili apate ubunge wa che kwa msaada wa bibi Kiroboto; hii anafanya baada ya kujua kuwa wapare wamemstukia na kuapa kuwa 2015 hawampi kura!!!!!!