+255
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 1,940
- 762
Wakuu wa wikaya wenyewe ndo hao wenye elimu ya form 4..
Af wanaJeshi
Wakuu wa wikaya wenyewe ndo hao wenye elimu ya form 4..
Siku hizi Wakuu wengi wa Wilaya na Mikoa wamesoma Mkuu!
Af wanaJeshi
Kwa mara ya kwanza leo umeniboa bungeni kwa hoja yako ya kung'ang'ania wakuu wa wilaya wapewe jukumu la kusimia mchakacho wa katiba wilayani
Yule mama nilimuona jinsi alivyokuwa anaawaamrisha wabunge kusimama eti kuunga mkono hoja. Kuna mzee mmoja alikuwa kakaa naye pembeni alikuwa anamshangaa yule mama alivyokuwa anajaribu kufanya eti DED sio serikali. In short mama nimemdharau sana na nimemfuta katika watu niliokuwa naawamini. Ukiwa msafi unatakiwa kusimamia ukweli mtupu sio maslahi ya kikundi cha watu, jinsi alivyokuwa anaongea ni dhahiri alikuwa ametumwa/amechaguliwa kuwakilisha hoja ile haikuwa inishativu yake.
Mwanasharie mkuu wa serikali kaabisha sana jana. Ukiona mtu mwenye mwili mkubwa anaongea pumba inakera zaidi. Kwenye hoja ya DC na DED alisema yeye ni mshauri na anatakiwa kuwa neutral ila kwa vile majority........basi tuaangalie ila mimi niko neutral. Cha kushangaza kwenye hoja ya Simbachawene akasema anaiunga mkono. Ina maana akili yake haiko sawa maana kwa muda mfupi sana alishasahau kuwa kasema yeye ni mshauri anatakiwa kuwa neutral............ni aibu sana kuwa na PHD holder wa sampuli ile. Kazi kweli kweli..............................pia alisema yeye alifundishwa kutotumia hadharani neno misconception kwa vile .......mtu ku conceive .blah blah........... nikajua huyu hajui tofauti ya maneno misconception na conceive. Sasa sijiu hata kama alielewa superfluous ilivyotamkwa na TL
Kwa mara ya kwanza leo umeniboa bungeni kwa hoja yako ya kung'ang'ania wakuu wa wilaya wapewe jukumu la kusimia mchakacho wa katiba wilayani
inawezekana wake wa zamani ni mkuu wa wilaya