Nimefuatilia bunge leo mwanzo hadi mwisho kwa mara ya kwanza. Baada ya kulazimisha kibabe kupitisha muswada wa serikali, mwishoni ndio anamvika kilemba cha ukoka Mh.Tundu Lissu.
Katika zoezi la upigaji kura ameonyesha dhahiri kuibeba CCM. Hata hoja ya Mh Lema ameisogeza mbele hadi bunge lijalo kwa kisingizio cha kukosa muda wa kuisoma
Katika zoezi la upigaji kura ameonyesha dhahiri kuibeba CCM. Hata hoja ya Mh Lema ameisogeza mbele hadi bunge lijalo kwa kisingizio cha kukosa muda wa kuisoma