Elections 2010 Anna Kilango kutorudi bungeni...?

Huyu mama ni vuvuzela tu, eti mpiganaji! Anapigania ugali wake na si kwa watu wa Same. Hayo ndio mambo ya demokrasia, jimbo si mali yake. Ndio siasa zetu bongo, kichwani hamna kitu, lakini mdomo mali yake. Kupiga kelele anaweza lakini kuongoza ni sifuri. Huyu mama, alikua anauhakika wa kuingia ikulu, sasa inawezekana kelele zote ni kwa machungu ya kukosa. Siku hizi naona majimbo kwa kabila, yani lazima uwe mmachinga kugombea umachinga...kazi kweli kweli
 
Wanajamii, kama kuna mtu anamfahamu Anne Kilango au watu wake wa karibu, basi wamshauri asome (kama hajawahi kusoma) the damned book "Lo Prince" by Machiavelli ili ajuwe siri ya politik! That book gave the politcian an advice about what he/she should do to persevere and to promote in his/her position badala ya kulialia. Alitakiwa kujua by now kwamba politiks is a dirty game. There is no definite rules. Siasa ni kama ile PRO-WRESTLING ya zamani (late 80s); you can use everything near you: kick, punch, slap, na ukiweza ua kabisa.
Laiti kama hayawezi haya, basi jibu lake ni rahisi; leave the dirty game to the dirty players and stop crying!:A S 20:

Fantastic comments, it sound so good.Ur a good reader of books.Well done M_kishuri.
 
Abunuwasi,

ni kawaida ya anna kilango kutoa matamshi ya vitisho, kwa wanaomfahamu wala hawashangazwi na kauli za hivi karibuni. kama anna kilango ametishiwa kuuwawa kama anavyodai, kwanini haendi kushtaki polisi, badala yake anakwenda kushitaki kwa yussufu makamba? anna kilango alitumia mbinu chafu katika uchaguzi wa 2005, kwa kuanza kampeni za ubunge tangu mwaka 2000, na pia kumwaga fedha wakati wa kura za maoni za maoni na uchaguzi mkuu.

kinachomtatiza anna kilango sasa hivi ni rekodi yake kama mbunge wa same mashariki. anna kilango ameshindwa kufuatilia ahadi ya raisi ya kujengwa kwa kiwango cha lami barabara ya mkomazi-ndungu-same. jimbo la same mashariki, na wilaya ya same, imeendelea kushika mkia mkoani kilimanjaro katika mitihani ya kitaifa na juhudi za mbunge katika suala la elimu hazionekani. kuna ufisadi wa kutisha katika uvunaji holela wa miti, na uharibifu wa vyanzo vya maji ktk jimbo la same mashariki, lakini mbunge haonyeshi kukerwa na ufisadi huo.

kazi aliyoifanya anna kilango ni ndogo na hairidhishi. ukweli huo ndiyo unaosababisha akabiliwe na upinzani jimboni kwake.tayari amejitokeza naghenjwa kaboyoka "mama maendeleo" na dr.michael kadeghe kumpinga katika kura za maoni za ccm.

soma jinsi hali ilivyokuwa tete mwaka 2005 baada ya anna kilango kumfanyia mchezo mchafu naghenjwa kaboyoka. wananchi walikuwa wanapeperusha bendera za ccm nusu mlingoti!!
Ahsante sana Bangusule
MTENDA AKITENDWA HUWA NONGWA
 
Back
Top Bottom