Tunakushukuru mama kwa kufundisha kwa vielelezo na zana halisi.Wanafunzi wako watalielewa somo kwa urahisi!
hahahahaa,,,tiching eids
Tunakushukuru mama kwa kufundisha kwa vielelezo na zana halisi.Wanafunzi wako watalielewa somo kwa urahisi!
Machozi ya mamba hayo!ni kuhusu misitu, majangili wanaovamia misitu na dhahabu,, kwenye msitu wa shengena jimboni kwake,,, ambapo amesema ametoa filam kwenye msitu huo,,
Mpuuzi mkubwa huyo. Mbona makamanda akina Tundu Lisu wakati wakipambana na uharibifu uliokuwa unafanywa na Barick North Mara yeye alikaa kimya na baadae akagonga meza kushangilia majibu ya hovyo yaliyokuwa yanatolewa na srikali.athari za uchimbaji madini jimboni kwake ,,, na ameomba kusimamaisha uharibifu unaofanyika shengena na kuurudisha msitu kwenye hali yake ya kwanza,, amesema kuwa watu wanasema yeye ni mkali na yeye ni mkali ,, kweli si mchezo na amejifananisha na united nations,, mbuge huyo wa same mashariki ametoa onyo na masikitiko kwa serikali,, kuhusu athari za machimbo na uhariifu wa vyanzo vya maji kwa wananchi wa same,, na amesema hiyo filamu inahusu athari za machimbo,, jimboni kwake na amesema sinema hiyo ataipeleka kwa rais wazir mkuu na spika
sinema ya jet lee nini?
Sterling ni lemutuzsterling kwenye senema hiyo ni nani? jb au ray?
Sterling ni lemutuz
ntoke vip hiyo mwananguhajasema, ila kasema hiyo filamu wame act wakazi wa jimboni kwake...!
Hana lolote huyo, harusi yake imefadhiriwa na JEETU PETEL, mtuhumiwa muhimu kwenye kesi za EPA na baadhi ya fedha alisingizia kuibwa pale Morogoro. Kumbe siri ikafichuka kuwa amemuingiza mjini mzee wa MTERA. Siyo mimi ni kauli ya Sophia Simba, mwenyekiti wa Umoja wa ma... wa CCM.
shigongo ++huyu mama ni mwanamazingaombwe kama alivyo mjukuu wake mange kimambi (mtoto wa mwele). Hawa watoto malechela ni vituko vitupu wasanii kweli kweli. Huyu mama si ana kabinti fulani anayeitwa ikumbo, bintiye malechela, kama ni yeye basi inabidi ajionee aibu kwa sababu skendol zao ni mbaya zaidi. Mpuuzieni wakuu
Leo Mbunge wa Same mashariki ameiumbua serikali na watendaji wake ngazi ya mkoa Kilimanjaro na wilaya Same. Kwa kuendelea kukaa kimya huku mlima shengena ukiharibiwa na wawekezaji wanao chimba dhahabu na bauxite na kusababisha chemchem ya maji kuathiriwa na kemikali zinazotokana na madini hayo. Aidha amewasilisha DVD 3 ambazo ameziita cinema za uharibifu mazingira. Waziri mkuu alionekana kuduwaa wakati wote ambapo mama kilango alikuwa akiongea.
ni kuhusu misitu, majangili wanaovamia misitu na dhahabu,, kwenye msitu wa shengena jimboni kwake,,, ambapo amesema ametoa filam kwenye msitu huo,,