<br />Sasa wabunge hawana kazi za kufanya yaani hata vikombe vya mbuzi wanakaribisha, nadhani ingebaki wa timu zinazoshinda makombe ya kimataifa, next time wataitwa washindi wa safari pool champion
Ankol kwa hili unaniaibisha bana angalia Timu ya kupiga picha we unapiga picha na akiyabu badala ya KOMBE
hahahha simba bwana eeeti walipeleka KOMBE! duuuu! aibu hiii!Pdidy hapa una lako jambo, sikujua kumbe na wewe GAMBA?
majasho ya nini bungeni?Ankol kwa hili unaniaibisha bana angalia Timu ya kupiga picha we unapiga picha na akiyabu badala ya KOMBE