Anguko la January Makamba

Jamani waswahili wa Puani hawawezi uongozi si mmeshaona, hebu angalia vizuri hao watu wanajibweteka na ndo maana waliwaruhusu waarabu kwa wingi kuja kufungua maduka. Yahani hawa watu ni mzigo mkubwa kwa nchi yetu hii wala hawana uchungu kabisa na nchi. Ndo maana kwao ngoma ndo msingi wa maisha yao yuko tayari kuuza hata nyumba/kiwanja ili amcheze mwanao na wala si kumlipia karo ya shule. Tukitaka tanzania imara watu hao wa mikoa ya Puani basi tusiwape madaraka wakubwa. Wakishalewa madaraka ni safari kila siku mara kumwona mjomba, shangazi nk. Wanajua kutumia tu pesa na wala kuzalisha hawawezi kazi kuponda raha tu motherfakangaga
 
Nimekubaliana kabisa na mtoa mada lakini napingana nae anaposema amemshusha january. Huyu jaunary ni kilaza wa kupindukia na ni mtu mnafiki ambaye anapiga kelele mahali ana maslai yake. Kama kuna mmoja wenu amabye alifikiri january ni KIONGOZI aachane na hizo ndoto maana ni ndoto za alinacha huyu ana lolote ni MNAFIKI na MZANDIKI hafai. Na kwa kukuthibitishia hilo 2015 hapati hata huo ubunge hapo bumburi alipachikwa na mafisadi
 
Nawashangaa wabongo wenzangu mnaopoteza muda kumjadili mtu kumbe mnampandisha hadhi; someni mpaka mle chaki mtaishia kichochoroni. Inatia kinyaa kuongozwa na vijana uchwara eti madingi wao walikuwa vinara. Member mmoja wa CCM akiingia nyumbani kwako puliza DDT au Rungu kwani hasara utakayoipata itakuwa haina maelezo (yaani uwe macho na wanaojifanya marafiki kumbe ni mashushushu.
 
Mie labda mnisaidie wana JF, maana hawa wote wenye majina makubwa (kutoka kwa baba zao) huwa nawachukia siamini kwamba wanapata mafanikio kwa kuwa ni wachapakazi. Mwenye ushaidi kunibadilisha mawazo haya niliyonayo please come forward, zawadi nono itatolewa

Kwa asilimia kubwa wanakuwa hivyo
 
Mie labda mnisaidie wana JF, maana hawa wote wenye majina makubwa (kutoka kwa baba zao) huwa nawachukia siamini kwamba wanapata mafanikio kwa kuwa ni wachapakazi. Mwenye ushaidi kunibadilisha mawazo haya niliyonayo please come forward, zawadi nono itatolewa

Hiyo zawadi nimeikosa miye. Manake siko tayari kuji-commit katika hoja ambayo it is an impossibilty. Umeishaambiwa mtoto wa nyani ni nyani tu ili mradi atoke kwenye tumbo la nyani. Kwa binadamu, however, labda kitanda kizae haramu. Hayo sasa ni maswala ya DNA, historia nyingine tofauti kabisaaaaaaaaaaa.
 
Kitendo cha January kupatikana na hatia ya kuiba mtihani wa kidato cha nne Galanos secondary na kupelekea kufutiwa matokeo kinatosha kutufahamisha kwamba huyu kijana haaminiki, ni mtu aliye tayari kuvunja sheria ili kufikia malengo yake binafsi.
Hata hivyo sijawahi kumuweka kwenye kundi la viongozi wa kutegemewa na nchi yetu.
 
Jamani waswahili wa Puani hawawezi uongozi si mmeshaona, hebu angalia vizuri hao watu wanajibweteka na ndo maana waliwaruhusu waarabu kwa wingi kuja kufungua maduka. Yahani hawa watu ni mzigo mkubwa kwa nchi yetu hii wala hawana uchungu kabisa na nchi. Ndo maana kwao ngoma ndo msingi wa maisha yao yuko tayari kuuza hata nyumba/kiwanja ili amcheze mwanao na wala si kumlipia karo ya shule. Tukitaka tanzania imara watu hao wa mikoa ya Puani basi tusiwape madaraka wakubwa. Wakishalewa madaraka ni safari kila siku mara kumwona mjomba, shangazi nk. Wanajua kutumia tu pesa na wala kuzalisha hawawezi kazi kuponda raha tu motherfakangaga

Sasa wewe ni kaburu tu. Huna lolote. Kuna waliosema masai anajua kula nyama tu. Na sokoine Je? Usije ukachanganya utamaduni wa mtu na uwezo wake wa kufikiri linapokuja swala la kushughulikia maswala ya jamii.

Tunaomba usiturudishe mwaka Arubaini na saba. Enzi za, anaweza, lakini aa Mkara!!!
 
Kitu cha kufanya hapa ni kujadili jinsi ya kumwondoa kwenye reli pale Bumbuli, maana ni mmoja wa watu wanaofuta dira yetu ya mabadiliko! Kama kuna wana Bumbuli humu waanze mkakati wa kummwaga sasa hivi!...
Hafai kwa jua wala kwa mvua!
 
hatuwezi wote kuwa na mawazo sawa, hoja ya zito ilijawa na jazba zaidi badala ya busara na hekima, haikuwa na uthabiti, bali ni hoja ya chama hata tukipinga kwamba haikua ya chadema .
maslahi binafsi pia yalitawala malumbano na shutuma kila mtu aliweka maslahi yake sio ya taifa kuna pande zilikua na interest katika viwanja vya CHC , WAMO WABUNGE na wawafanya biashara na mawaziri, wabunge hao pia ni wa upinzani, wapo wenye interest na upanuzu wa bandari, wamo wabunge na mawariri , huu ndio ukweli, kila mtu anatetea upande wake wenye maslahi yake,....siisi tunapigishw kelele tu ndio maana mwenye akili ya kufikiri alikaa kimya ..hata wapinzani nao pia hawakusaini wote, upinzani una wabunge zaidi ya 87 lakini zito alipata tabu sana kutimiza idadi ya wabunge 70, hii ...na kusaini wabunge chini ya 5 tu wa CCM inaonesha hoja haikua ya msingi ilikua ya kisiasa zaidi..wengine hawa wamedandia
 
hatuwezi wote kuwa na mawazo sawa, hoja ya zito ilijawa na jazba zaidi badala ya busara na hekima, haikuwa na uthabiti, bali ni hoja ya chama hata tukipinga kwamba haikua ya chadema .
maslahi binafsi pia yalitawala malumbano na shutuma kila mtu aliweka maslahi yake sio ya taifa kuna pande zilikua na interest katika viwanja vya CHC , WAMO WABUNGE na wawafanya biashara na mawaziri, wabunge hao pia ni wa upinzani, wapo wenye interest na upanuzu wa bandari, wamo wabunge na mawariri , huu ndio ukweli, kila mtu anatetea upande wake wenye maslahi yake,....siisi tunapigishw kelele tu ndio maana mwenye akili ya kufikiri alikaa kimya ..hata wapinzani nao pia hawakusaini wote, upinzani una wabunge zaidi ya 87 lakini zito alipata tabu sana kutimiza idadi ya wabunge 70, hii ...na kusaini wabunge chini ya 5 tu wa CCM inaonesha hoja haikua ya msingi ilikua ya kisiasa zaidi..wengine hawa wamedandia

Nataka nikubaliane na msemo wa waswahili kwamba duniani wawili wawili.
Mawazo yako na mawazo ya january yamefanana sana. Si ajabu ukatuambia hata alipofutiwa matokeo ya mtihani wa kidato cha nne Galanos ilikuwa jazba tu ya necta!
 
Acts 13:36 – “For when David had served God's purpose in his own generation, he fell asleep; he was buried with his fathers and his body decayed

Ni ukweli usiopingika kwamba kila kizazi kinahitaji kiongozi wake. Hiyo ni kwa sababu kila kizazi kina matatizo yake, maono yake, na matakwa yake. Ni ukweli usiopingika kwamba kizazi cha Tanzania leo hii kina kiu ya kiongozi wake.

Kwa muda ilionekana kama vile kuna vijana wawili – January Makamba and Zitto Kabwe, ambao walikuwa tayari kubeba jukumu la kusimama kama nyota ya uongozi wa kizazi kipya. Kili mmoja wetu anajua kilichojiri Bungeni hivi karibuni, hasa uamuzi wa January Makamba kupingana na hatua aliyoingoza Zitto Kabwe ya kudai uwajibikaji serikalini.

Ni dhahiri, ingawa wengine wanaweza kuwa na maoni tofauti, kwamba January amejiweka katika wakati mgumu kisiasa, hasa mbele ya vijana waliomtegemea.

Kwa muda January Makamba aliweza kung’ara katika anga za siasa Tanzania kwa sababu ya uwezo wa kupambanua mambo. Lakini kilichotokea Bungeni kimedhihirisha kitu kimoja – uwezo wa January kupambanua mambo na kutoa kauli “zilizoenda shule” peke yake hakumfanyi mtu kuwa kiongozi na shujaa wa kizazi chake. Kuna wakati na mazingira yanamtaka kiongozi kudhihirisha mawazo na moyo wake ulipo.

Pale Bungeni, wakati huo ulitokea na bahati mbaya sana January akaugopa wakati huo.

Pale mjengoni, January Makamba alidhihirisha kwamba mawazo yake na moyo wake yako mbali kama Mashariki iliyo mbali na Magharibi. Na ndio maana dhana ya “unafiki” inamzonga January. Katika utetezi wake, January Makamba aliandika hiki hapa chini:

"I can disagree with Zittokabwe on methods to reach the same objectives, and we are still brothers"

Mpaka leo sijasikia chochote toka kwa January kuhusu njia mbadala (tofauti na njia aliyopendekeza Zitto Kabwe) ya kuleta uwajibikaji serikalini. Kwa mantiki hiyo, hiyo kauli yake hapo juu ilikuwa ni jitihada tu ya kuzima zengwe na jinamizi la kisiasa linalomkabili.

What a waste.

Acha kupoteza muda wako kumjadili January. Kijana mdogo anakuwa mnafiki kiasi hiki je akiwa mzee itakuwaje. Wekeni hoja zenye maslahi na nchi.
 
Back
Top Bottom