Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Kuna vurugu kubwa nchini Angola katika uchaguzi uliopangwa leo -- vyama vya upinzani vyasusia sababu orodha ya majina ya wapiga kura yaliyowekwa juzi yana kasoro kubwa, wengi wapigakura hawaoni majina yao na wengine yamehamishiwa vituo vingine vya mbali.
Kweli Miafrika ndivyo tulivyo -- demokrasia hawaitaki, wanapenda kuwepo vurugu kila siku. Angola wanasahao vita ile ya miaka 25.
Hivi hizi nchi za Afrika huambizana namna ya kuvuruga chaguzi? mbinu ni zile zile!
Source; BBC
Kweli Miafrika ndivyo tulivyo -- demokrasia hawaitaki, wanapenda kuwepo vurugu kila siku. Angola wanasahao vita ile ya miaka 25.
Hivi hizi nchi za Afrika huambizana namna ya kuvuruga chaguzi? mbinu ni zile zile!
Source; BBC