Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Ndugu zanguni
tukiwa katika mkakati bado wa kutengeneza timu yetu kama
maximo alivyokuja na kusema bado tunatengeneza timu
leo hii watu wakiwa katika kuangalia mashindano ya angola africa
vyema tukajiuliza nini kimefanya timu yetu JK BOYS wasiwe uko
na leo hii kuwa watazamaji kwenye luninga;msaada wako unaweza
kuleta maendeleo katika timu yetu;je ni
kocha,
wachezaji
vipaji
kujituma
nidhamu mbovu
ama milo mibovu,..nk
tutashukuru kuweza kuwapatia wadau wa karibu na timu yetu mawazo yako tusaidie kuona ikiingia mashindano yajayo
tukiwa katika mkakati bado wa kutengeneza timu yetu kama
maximo alivyokuja na kusema bado tunatengeneza timu
leo hii watu wakiwa katika kuangalia mashindano ya angola africa
vyema tukajiuliza nini kimefanya timu yetu JK BOYS wasiwe uko
na leo hii kuwa watazamaji kwenye luninga;msaada wako unaweza
kuleta maendeleo katika timu yetu;je ni
kocha,
wachezaji
vipaji
kujituma
nidhamu mbovu
ama milo mibovu,..nk
tutashukuru kuweza kuwapatia wadau wa karibu na timu yetu mawazo yako tusaidie kuona ikiingia mashindano yajayo