Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Tomorrow games.....
Malawi VS Algeria
Ivory Coast VS Borkina Faso
Ghana VS Togo.
Ghana vs Togo????
Tomorrow games.....
Malawi VS Algeria
Ivory Coast VS Borkina Faso
Ghana VS Togo.
Angola na Mali wamecheza jana na matokeo ni draw ya goli 4 kwa 4. Angola waliongoza kwa goli 4 mpaka dakika ya 79 ndiyo Mali wakaanza kurudisha goli moja baada ya lingine. Very suprizing lakini ndiyo maana wanasema mpira ni dakika 90!
Kweli mpira ni fumbo.kila mara nimekuwa nasema football ni mchezo unaoumiza sana sanaaaaaa..
Angola na Mali wamecheza jana na matokeo ni draw ya goli 4 kwa 4. Angola waliongoza kwa goli 4 mpaka dakika ya 79 ndiyo Mali wakaanza kurudisha goli moja baada ya lingine. Very suprizing lakini ndiyo maana wanasema mpira ni dakika 90!
Mpira ni hadi filimbi ya mwisho ipulizweAngola na Mali wamecheza jana na matokeo ni draw ya goli 4 kwa 4. Angola waliongoza kwa goli 4 mpaka dakika ya 79 ndiyo Mali wakaanza kurudisha goli moja baada ya lingine. Very suprizing lakini ndiyo maana wanasema mpira ni dakika 90!
Asante Mkuu nimeingia lakini rtiba yenyewe iko kwenye Adobe na bahati mbaya kompyuta yangu haina aAdobe. Niko nadownload Adobe lakini bado ni vema ratiba ikawekwa hapa ili mambo yote yapatikane hapa hapaIngia hapa mkuu utapata ratiba yote....