yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Huyu jamaa ananiua sana.alivokua mwandishi pale Mwanaspoti alikuwa kinara wa kuiponda sana TFF katika makala zake za gazetini.Lakini alivoingia Tff sasa amekua kinala wa kuboronga, kujikanyaga na kuharibu, pengine kuliko alowakuta,na kila siku kwenye vyombo vya habari utafkiri msemaji tff!