kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 143
Kama kuna mtu ameandika historia mbaya ya uongozi wa soka hapa nchini ni huyu bwana. Katika kipindi chake akiwa kama katibu ameshindwa kuwa thabiti na kusababisha migongano ya hapa na pale kati ya Klabu na TFF au kati ya Klabu na Klabu.
Matatizo aliyosababisha kwa uchache ni kama yafuatayo:
1. Kukosekana kwa waamuzi thabiti wa soka na kupanga waamuzi hasa wa mechi za Yanga kwa upendeleo
2. Kuwepo kwa usimamizi mbaya wa soka na fedha za TFF
3. Kuwa na maandalizi duni kwa timu zetu za Taifa
Na wenzangu ongezeeni hapo chini. Cha msingi kwake ni kujiuzulu ili kuleta imani kwa wapenzi wa soka na kujijengea heshima kabla ya kulazimishwa kufanya hivyo.
Matatizo aliyosababisha kwa uchache ni kama yafuatayo:
1. Kukosekana kwa waamuzi thabiti wa soka na kupanga waamuzi hasa wa mechi za Yanga kwa upendeleo
2. Kuwepo kwa usimamizi mbaya wa soka na fedha za TFF
3. Kuwa na maandalizi duni kwa timu zetu za Taifa
Na wenzangu ongezeeni hapo chini. Cha msingi kwake ni kujiuzulu ili kuleta imani kwa wapenzi wa soka na kujijengea heshima kabla ya kulazimishwa kufanya hivyo.