EL MAGNIFICAL
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 938
- 125
- Thread starter
- #21
Unampeleka shule tu ndiyo itakayombadilisha
na ada asikabidhiwe akalipiwe maana mmh...
Unampeleka shule tu ndiyo itakayombadilisha
ndio maana alichagua swali rahisi mkuu lakini wapi !!!Yeye alijua ni mzembe ivyo akaamuuliza mbele ya watu akidhani watamwona mjanja?
ningempleka kwenye mashine ya kusaga nafaka nabadilishana na pumba.. Afu hizo pumba nawapa kuku wangu wa kienyeji wale