ANGALIZO: Watainiwa wote wa TANAPA, COASCO, NHIF,T AEC na ZINAZOKUJA

mabwepand

Member
Jul 16, 2012
86
22
Kwa wale wote ambao wameomba kazi kupitia secretarite ya Utumish, tafadhali uwe aware na idadi ya watu wanaohitajika katika hio post husika kwako. La sivyo unaweza kutapoteza nauli ,na wengi mtakuwa na madeni ya kukopa kwa ajili ya safari. Ratio ya kuitwa kwa oral interview ni 1:3 yaani nafasi moja kwa watu watatu kwa oral interview, baada ya kufanya written interview hivo kuwa muangalifu kidogo au kuwa mvulivu.
 
Kwa wale wote ambao wameomba kazi kupitia secretarite ya Utumish, tafadhali uwe aware na idadi ya watu wanaohitajika katika hio post husika kwako. La sivyo unaweza kutapoteza nauli ,na wengi mtakuwa na madeni ya kukopa kwa ajili ya safari. Ratio ya kuitwa kwa oral interview ni 1:3 yaani nafasi moja kwa watu watatu kwa oral interview, baada ya kufanya written interview hivo kuwa muangalifu kidogo au kuwa mvulivu.

duh! kwani hawa nhif nao watu wameomba kwa kutumia utumishi? mana tanapa wao pia si zani kama wanatumia utumishi pia! kwanza hawa nhif interview zao zinaendeleaje? mana mkuu unaweza kupoteza nauli ivi ivi na madeni juu kati ya watu 1000 mwaitajika 4. duuh! mtihani
 
Unachokisema mtaalamu ni sahihi kabisa kwani mm yamenikuta katika interv. Ya TAEC kule A-town, nimejikuta napoteza nauli yangu bulee kumbe kuna watu wanakazi zao tayari, tulikuwa watu 56 na wanaohitajika ni watu 3 tu. Sintouzulia interv. Za namna hii ever.
 
Guys ukiitwa kwenye interview nenda, kwani utakupata kazi kupitia interview au jiajiri.
I suggest that interview inakupa experience na challange na hata kazi, la muhimu ni kujiamini na kufikiri kuwa wewe ndiyo una vigezo vya kuajiriwa ila endapo hujaitwa ujue wajanja zaidi yako walikuwepo pia.
Huna akili kuliko wote na pia wewe sio kilaza kuliko wote.

Athanteni sana kwa kuja:flypig:
Guys ukiitwa kwenye interview nenda, kwani utakupata kazi kupitia interview au jiajiri.
I suggest that interview inakupa experience na challange na hata kazi, la muhimu ni kujiamini na kufikiri kuwa wewe ndiyo una vigezo vya kuajiriwa ila endapo hujaitwa ujue wajanja zaidi yako walikuwepo pia.
Huna akili kuliko wote na pia wewe sio kilaza kuliko wote.

Athanteni sana kwa kuja:flypig:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom