Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Sentensi ya kwanza umeiandika kama wewe ndiye mmiliki wa JF. Si uwaache wenye mtandao wao waongee?
Jamii Forums ni sauti ya umma na wewe unahusika moja kwa moja ndio maana uko huru katika kuchangia au kuleta uzi wako hapa. JF haingesimama bila yule, wale, wewe na mimi, sisi ndio tunaofanya JF iwepo na ndio malengo ya Mwanzilishi.
Mwanakijiji yuko sahihi kwa alivyoandika.