Napenda kutoa angalizo la hii bank ya wanawake Tanzania iliyofunguliwa hivi majuzi ni kwamba lengo kweli ni kuwasaidia wanawake au ni kama njia ya kupitishia hela za uchaguzi 2010 wadanganyika tuwe watazamaji hii bank haitafika 2011 utasikia sababu kibao or mara ilikuwa na mtaji kidogo or mara ........ maneno mengi tutasikia tuwe macho!!!