NAUNGA MKONO HOJA MWANAKIJIJI -BUT ili mabadiliko yafanyike hisia kali na ukweli lazima ziruhusiwe, ccm ndio mchezo wao wamezoea kuchakachua walianza siku nyingi -lazima tuwaambie ukweli kupitia JF. Tunataka Tume huru ya Uchaguzi na siyo Tume ya CCM, tunataka tume inayojali maslahi ya watanzania wengi, kwani mbona Ivory Cost wanatume bomba inashindikana vipi TZ, ni kwa kusema ukweli na kuandamana ndio watajua hiki ni kizazi kipya, TUME IVUNJWE HATUITAKI IMESHINDINDWA KAZI ILIYOPEWA KIKATIBA.