Ngaramu
JF-Expert Member
- May 7, 2009
- 382
- 78
Mimi ni mhandisi wa umeme niliewahi fanyakazi maeneo ya migodi. Kwa ufahamu wangu CHANZO CHA MGAO wa umeme ni migodi ya BUZWAGI na NORTH MARA. Migodi hii imeunganishwa kwenye grid ya taifa 2009/2010 bila kukamilika kwa mradi wa uwekezaji kwenye vyanzo kama mkataba/utaratibu ulivyotaka (ufisadi huu). Upungufu wa mvua ume-trigger tu hili tatizo. Kama hamuamini, toa LOAD ya hiyo migodi miwili muone! MY TAKE: KWA NINI WATZ WOTE TUBEBE MZIGO WA BARRICK GOLD?