Angalizo kwa Graduates wote na kaka/dadas Mliopo Vyuoni

umenikumbusha UDSM, nilisoma physical education, sports n culture, baadhi ya marafiki wa bcom n law walikuwa wakijoke kwamba dah naona mzee unatengeneza coursework kwa kuogelea, unacheza netball nini, but infact ni kwamba katika course yetu tulikuwa 16 na 10 tuko kwenye central Gvt, na wale washkji zangu bado wananiomba hela za beer hadi jana.

Yap hizo zipo sana, watu wanakuwa hawajui maisha yalivyo, mshukuru muumba kwa alipokufikisha
 
mkata kiu, hongera kwa kutambua hii.
na hongera kwa kuwaasa wadogo zako
umenikumbusha kijana mmoja tulikutana baada ya kumaliza chuo anashangaa kumbe serikali haituthamini kiasi hichi. japo wakati wa mgomo mnatoa amri aje waziri mkuu hamumtaki waziri wa elimu ya juu, na enzi zile sumaye anakuja kweli,lol!
mambo magumu ila punda afe mzigo ufike

Ni kweli sister, kipindi cha chuo ndo muda wa kuringa, maana zaidi ya hapo maisha sio lelemama, mtaani kunahitaji ujasiri na heshima ya hali ya juu
 
Lol! Wewe ni Great Thinker Kweli kweli.... Nimeipenda hoja ya kuchagua Spouse.... inahusika sana. Wengi wanaishia kuruka na visister du vyuoni wakifika huku mitaani inakuwa balaaa. Plan B na C pia muhimu. Ngoja niiprint niwagawie wadogo zangu waliopo vyuoni labda wanaweza kuambulia kitu hapa. Be Blessed

Choice of the spauses ni muhim sana, uzuri wake chuon kuna wide choice, unacheza pole pole katika uchaguzi maana utalizwa na maumivu mawili ya kimaisha na ya mtaani mambo ya kibuma, but mkiwa wawili upendo na malengo mkiendana mnashauriana mtoke vipi katika mapambano
 
  • Thanks
Reactions: SG8
Shukrani mkuu.

Bongo watu wanakomaa na paper qualification mpaka kuangalia vyeti vya form four na six?

Is this typical?
 
Shukrani mkuu.

Bongo watu wanakomaa na paper qualification mpaka kuangalia vyeti vya form four na six?

Is this typical?

Very typical
kuna graduate wa DUCE alifutiwa vyeti sababu
cheti cha form four alifoji....while college ni yeye ndie aliesoma but still walifuta na wakaenda kwenye press kujisifia
kuwa wamechukua hatua hiyo
 
Waswahili walisema majuto ni mjukuu! Siku zote wawapo vyuoni, vijana weengi wanaamini future zao zitang'aa ghafla soon after graduating! Naseme hivyo kwa ushahidi niliojionea kwa macho yangu wakati niko najiendeleza ktk chuo kikuu kimoja cha umma hapa inchini! Vijana, wake kwa waume walikuwa hawashikiki wala kushaurika wakijigamba kwa kuwa na elimu nzuri ya chuo kikuu, wakiamini tayari maisha wameyaweza! Wengine walidiriki hata kujisifia waziwazi na kuwabeza wenye elimu za chini yao! Ukiwaambia uhalisia wa maisha hauko hivyo kule uraiani wanakuona outdated! Leo hii miaka inazidi kwenda lakini ukikutana nao lazima wakuombe japo chochote, hawana kazi na dharau zao zilisababisha wasiwe na mahusiano mazuri na jamii! Huko vyuoni jamani tubadilikeni! Asanteni na kila la kheri ktk maisha.
 
wadogo zangu nawashauri someni tu! kazi zitapatikana! mawazo ya hofu kutoka kwa wachangiaji yasiwatishe
ila usisahau kuwa na plan B ni muhimu kwa maisha ya sasa!
 
ANGALIZO KWA KAKA /DADA NA WADOGO ZANGU WOTE MLIOPO VYUONI NA MNAOTEGEMEA KUMALIZA CHUO
Mi ni graduates wa chuo kimoja cha uma mwaka 2010 and nakummbuka sana stories tulizokuwa tunapiga enzi za chuo na matumaini kibao na washkaji chuoni, especially ambao tuliingia chuo direct from school ambazo mara nyingi zilikuwa tofauti na stories ambazo in services walizokuwa wanaziongelea wakitokea makazini,, so after almost a year In real practical world nimejifunza yafutayo na nimeona si vibaya nikishare na washkaji zangu ambao bado mkpo vyuoni na mtaani mkiendelea na harakati

1.Kwanza kabisa Heshima kwa watu wote ama course yoyote sababu vyuoni kuna tabia ya kujiona huko juu kisa unasoma course flani like Telecom,B com, BAF, logistics etc na kuwaponda wenzako kuwa watasota kitaa au watakuwa na maisha duni kisa wanasoma degree hazieleweki, in real world maisha hayaeleweki na ajira siku hizi si mchezo na hata kubebwa lazima ubebwe na mtu mwenye nguvu kweli kweli sio rahisi kama tunavyozani na hii imechangiwa na technology, siku hizi kazi nyingi zinafanywa under management system so haziitaji nguvu nyingi ya lazima kumwajiri aliyosomea yoyote anafundishwa system kasha anapiga mzigo kama kawa,

2.Pia kuandaa plan B mapema, nadhani weni wetu plan A inakuwa kuajiriwa nah ii inaweza ikabuma so ni vyema kuandaa plan B na hata Plan C if possible mapema na tena itapendeza ukianza nayo toka huko chuoni wakati unapata pata vipesa vya Boom kama mtaji mdogo wa what ur going to do kama usipopata ajira.


3. Kuwa makini kwenye Mahusiano yako, Date the right one sababu patner ndo mtu wa kwanza close kwenye harakati za maisha na hata kupeana furaha hata kama mishe haziendi sawasawa, na vyuoni ni sehemu zenye wide choice so badala ya kupoteza muda na visister duu visivyojua maisha ni nini au visharobaro visivyojielewa kama ni mdada jilengeshe kwa right man ambae mtakuwa pamoja kwenye michakato yote coz hukisubiri uje umpate wakati una kazi nzuri au pesa nyingi atakuwa feki huyo na pia kupata hiyo kazi nzuri na pesa nyingi inaweza isifike hata baada ya 10 years as soko ni gumu sana nowdays and Kila nyumba ina graduates siku hizi so job is a real challenge


4.Jitahidi uwe unique katika competitive market usipende vitu vya kuigana as kufata mkumbo like kukimbilia masters wakati hauna experience tena kwenye vyuo vyetu vya kibongo ulivyosoma undergraduate unaenda kuchukua masters cheti, but u ddnt masters anything because the mean of master is the same as mastering something you know better and wish to continue doing on your life. But ukipata chance abroad atleast utachange pia hata kuimprove communication skills as you know kidhungu ni ishu kwa sisi wabongo. USHAURI HIYO SCHOOL FEES YA MASTER BILA EXPERIENCE NI BORA HUITUMIE KAMA MTAJI KWENYE PLAN B YAKO kuliko kuipeleka chuoni then ukarudi kwenye u jobless


5. Communication skills kwa kiingereza nazo zinahusika nowdays, kwa wale mliopitia English medium schools au kusoma abroad na wote ambao kiingereza mnakijua vizuri tumieni lugha hiyo vizuri kuwachanganya mabosi kwenye interviews au hata kwenye career fairs as you know kwa bongo English deal, although haina maana yoyote.


6. Pia jitahidi ujichanganye na watu mbalimbali ili utengeneze network na pia fuatilia sana kampuni ambazo zinarecruit kila mwaka like KPMG, PWC, DELLOITE, SDV, PKF, ERNST AND YOUNG etc sababu hizo ndizo hope kubwa kwa graduates tusio na connection sababu ziko na fair recruitment japokuwa ni process kupata maana interview sio chini ya tatu na GPA lazima iwe inasoma na ina relate na matokeo ya Form 4 and form 6, sio form4 div 4, form 6 div 3 halafu chuo una first class hapo jamaa watajua chuo umefanya uchakachuaji tu, Nimesema hivyo through my experience working in among those firm since I graduate up to now, na nilipata job bila kumjua hata mfagiaji wa ofisi,, so I encourage my fellows mjaribu bahati zenu..

NI HAYO TU NDUGU ZANGU NIMEONA TUSHARE KAMA KUNA MTU ANA LA KUONGEZEA RUHUSA KWA FAIDA YA NDUGU NA JAMAA
mkuu umeongea point kinoma sema swali langu ni hili jee hao akina pwc,ernst yung na etc uliowataja hao si wanadeal na mambo ya accounting nin, economics...etc vipi watu wa vitivo vingine mfano sociology, sheria, pspa nao vipi wajiunge huko huko kwa hao jamaa mana tunategemea kuingia kitaa halafu connection hatuna hapa wengine...ova...
 
Mjomba! asiye sikia ni kiburi chake, wasitake kutest sumu kwa kuonja ilikujua kama imeexpery uliyo ya eleza yana ukewli hata huku kitaani kunawashikaji wanapiga temporary jobs na kulipwa mishahara isiyovuka laki tatu kwenye fani ambazo hawakusomea baada ya kuishiwa matumaini yaa matarajio yao.
 
Safi sana mkuu,umesomeka mbaya..maana ka hapa udbs watu wanadhani ndo tayari waisha yapatia maisha.
kabisa jombaaa wanaringa sana watoto wa huko sana sana huyu nailiu huyu..daaah ngoja nimkaushie...aaaah mamanzi wa huko wanajiona wako TRA hivi ama Barclays hivi daaah
 
Back
Top Bottom