Kuna mtandao umeanzishwa unaitwa Friends of Dr Slaa unao jumuisha wafanya biashara wakubwa nk,
kila mtu anajua jinsi wafanyabiashara wakubwa wanavyo ihujumu nchi hii sababu tu waliisaidia CCM katika kampeni zake
kila mtu anajua wafanyabiashara ni watu wa kutafuta faida daima, mfanyabiashara hapeleki hela yake sehemu ambayo haina faida kwake,
nina wasiwasi sana na hii kitu kama kweli hawa watu wakimfanikisha Rais mtarajiwa Dr Slaa kuingia ikulu hawata taka fadhila ambayo ndio inayo liangamiza taifa hili?
siipingi FOD na nataka DR Slaa achukue nchi, lakini hawa wafanyabiashara sina imani nao kabisa
kila mtu anajua jinsi wafanyabiashara wakubwa wanavyo ihujumu nchi hii sababu tu waliisaidia CCM katika kampeni zake
kila mtu anajua wafanyabiashara ni watu wa kutafuta faida daima, mfanyabiashara hapeleki hela yake sehemu ambayo haina faida kwake,
nina wasiwasi sana na hii kitu kama kweli hawa watu wakimfanikisha Rais mtarajiwa Dr Slaa kuingia ikulu hawata taka fadhila ambayo ndio inayo liangamiza taifa hili?
siipingi FOD na nataka DR Slaa achukue nchi, lakini hawa wafanyabiashara sina imani nao kabisa