Angalizo kwa Chadema, FOD

Paul S.S

JF-Expert Member
Aug 27, 2009
6,402
3,242
Kuna mtandao umeanzishwa unaitwa Friends of Dr Slaa unao jumuisha wafanya biashara wakubwa nk,
kila mtu anajua jinsi wafanyabiashara wakubwa wanavyo ihujumu nchi hii sababu tu waliisaidia CCM katika kampeni zake
kila mtu anajua wafanyabiashara ni watu wa kutafuta faida daima, mfanyabiashara hapeleki hela yake sehemu ambayo haina faida kwake,
nina wasiwasi sana na hii kitu kama kweli hawa watu wakimfanikisha Rais mtarajiwa Dr Slaa kuingia ikulu hawata taka fadhila ambayo ndio inayo liangamiza taifa hili?
siipingi FOD na nataka DR Slaa achukue nchi, lakini hawa wafanyabiashara sina imani nao kabisa
 
Kuna mtandao umeanzishwa unaitwa Friends of Dr Slaa unao jumuisha wafanya biashara wakubwa nk,
kila mtu anajua jinsi wafanyabiashara wakubwa wanavyo ihujumu nchi hii sababu tu waliisaidia CCM katika kampeni zake
kila mtu anajua wafanyabiashara ni watu wa kutafuta faida daima, mfanyabiashara hapeleki hela yake sehemu ambayo haina faida kwake,
nina wasiwasi sana na hii kitu kama kweli hawa watu wakimfanikisha Rais mtarajiwa Dr Slaa kuingia ikulu hawata taka fadhila ambayo ndio inayo liangamiza taifa hili?
siipingi FOD na nataka DR Slaa achukue nchi, lakini hawa wafanyabiashara sina imani nao kabisa

Chadema si kama CCM, Chadema ni chama cha watu makini, pia FOD haina wafanyabiashara tu wapo pia wasomi na watu wengine.
ondoa hofu hawa wanamapenzi ya kweli na nchi yao ndio maana wamenamsaidia Dr Slaa ili aongoze kwa haki na biashara zao zitaenda kwa haki
 
Kuna mtandao umeanzishwa unaitwa Friends of Dr Slaa unao jumuisha wafanya biashara wakubwa nk,
kila mtu anajua jinsi wafanyabiashara wakubwa wanavyo ihujumu nchi hii sababu tu waliisaidia CCM katika kampeni zake
kila mtu anajua wafanyabiashara ni watu wa kutafuta faida daima, mfanyabiashara hapeleki hela yake sehemu ambayo haina faida kwake,
nina wasiwasi sana na hii kitu kama kweli hawa watu wakimfanikisha Rais mtarajiwa Dr Slaa kuingia ikulu hawata taka fadhila ambayo ndio inayo liangamiza taifa hili?
siipingi FOD na nataka DR Slaa achukue nchi, lakini hawa wafanyabiashara sina imani nao kabisa
Tuwekee link ya mtandao huo nasi tuone kabla ya kuchangia zaidi thread yako
 
Kuna mtandao umeanzishwa unaitwa Friends of Dr Slaa unao jumuisha wafanya biashara wakubwa nk,
kila mtu anajua jinsi wafanyabiashara wakubwa wanavyo ihujumu nchi hii sababu tu waliisaidia CCM katika kampeni zake
kila mtu anajua wafanyabiashara ni watu wa kutafuta faida daima, mfanyabiashara hapeleki hela yake sehemu ambayo haina faida kwake,
nina wasiwasi sana na hii kitu kama kweli hawa watu wakimfanikisha Rais mtarajiwa Dr Slaa kuingia ikulu hawata taka fadhila ambayo ndio inayo liangamiza taifa hili?
siipingi FOD na nataka DR Slaa achukue nchi, lakini hawa wafanyabiashara sina imani nao kabisa

Usiume na kupuliza. Wewe tunakujua ni CCM damudamu. Acha unafiki. Una ushahidi gani kwa yale unayosema.Tupe data kama unachokisema unakijua. Tutajie majina yao na utoe evidence.
 
kwenye FOD hataingia RA wala washikaji zake zaidi ni mtandao wa wataalamu na wana taaluma kupanga mikakati ya kampeni na kuibua changamoto kwa wapiga kura kupiga kura kwa mtu sahihi, ni gharama kubwa kumrudisha JK madarakani.
 
Tatizo sio wafanyabiashara wakubwa, tatizo ni attitude yetu watanzania ya kuwa spectators. kwanini na sisi wanyonge tusijiunge na kutoa tulicho nacho na kuwabeat ni number. Sasa tukibaki kulalama haitusaidii kitu. Manpower ya kukagua fomu ikikosekana tunalalmika, ilihali hatutoi chochote kurectify the situation. Wakijitokeza watu kutak action tunawakatisha tamaa. Watanzania tokoje? Ndio maana CCM wakaamua kutufisadi maana hatuna jambo jema.

Ningefurahi kama watu wangekuwa wanasema vitu walivyofanya kuipa kasi hii crusade badala ya kungoja wengine wafanye halafu wao wakosoe tuu!!!!! Tuwaache FOD yao ata least they are doing something.
 
Kuna mtandao umeanzishwa unaitwa Friends of Dr Slaa unao jumuisha wafanya biashara wakubwa nk,
kila mtu anajua jinsi wafanyabiashara wakubwa wanavyo ihujumu nchi hii sababu tu waliisaidia CCM katika kampeni zake
kila mtu anajua wafanyabiashara ni watu wa kutafuta faida daima, mfanyabiashara hapeleki hela yake sehemu ambayo haina faida kwake,
nina wasiwasi sana na hii kitu kama kweli hawa watu wakimfanikisha Rais mtarajiwa Dr Slaa kuingia ikulu hawata taka fadhila ambayo ndio inayo liangamiza taifa hili?
siipingi FOD na nataka DR Slaa achukue nchi, lakini hawa wafanyabiashara sina imani nao kabisa


Your signature: "too much clevernes takes away intelligence" says it all.
 
Back
Top Bottom