maisha magumu, na kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake, kama kazi yako ni baa utakata chenj za wateja, mwalimu tuition na vitotoos, beki tatu kwenye ununuzi wa maitaj home, ofisini ndo basi, embu leteni picha hayo majamaa ya vijisenti, wa south africa na uswisi walikua wanachukua vyao. acheni uonevo kwa polisi bhana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.