Mbayo wa Giika
JF-Expert Member
- Apr 9, 2014
- 205
- 106
Watanzania tuache wivu hivi CV ya Malima inakuhusu nini. Hebu leta kwanza yako tuione na tuijadili
Huyu ni public figure kuichambua CV yake c dhambi.
Watanzania tuache wivu hivi CV ya Malima inakuhusu nini. Hebu leta kwanza yako tuione na tuijadili
Si afadhali CV ya Mh. Malima ila waingiza data inawezekana wamekosea sababu ukifuatilia CV za wabunge, wengi wao zinakasoro. Umeiona ya JAH PEOPLE, yaani mpaka leo bado anasoma ELIMU YA MSINGI na sijui ataimaliza lini!
http://www.parliament.go.tz/index.php/members/mpcvs/1631/2010-2015
master degree,
postgraduate,
master degree.
Si afadhali CV ya Mh. Malima ila waingiza data inawezekana wamekosea sababu ukifuatilia CV za wabunge, wengi wao zinakasoro. Umeiona ya JAH PEOPLE, yaani mpaka leo bado anasoma ELIMU YA MSINGI na sijui ataimaliza lini!
Parliament of Tanzania
kusema ukweli, hii ya jah wa njombe kaskazini, ni balaaa, ...unajua kule kwa wabena hawajali sana elimu, wao ukiwa mchawi mzuri ndo unashinda ubunge, hapo mwenye degree zake akijaribu kugombea, watamzika wiki hiyo hiyo.....hii ndo tz bana...kama huamini uliza wakinga na wabena watakwambia.