ANGALIENI CV YA ADAM MALIMA: hana form six wala bachelor, loooo!!!!

:biggrin1: daahh hii CV kiboko yani mzee hata sekondari hakukanyaga

Juzi Kenya wamepitisha sheria ya uchaguzi inayotaka kila mgombea ubunge awe at least na first degree. Kuna ubaya gani hata sisi wabongo tukiinga mazuri ya wenzetu wa Kenya?!

I cant imagine huyo mh. anaweza kweli kusoma na kuielewa vizuri bajeti. No wonder wabunge wetu huwa wanajadili vitu vya jumla jumla hakuna anayeza kuchambua kipengele kwa kipengele!
 
Breaking news KE. All persons seeking Presidency,Governership,or MP sit must be first degree holder or above. Zaidi ya wabunge 80 hawarudi bungeni hadi 2017 kwa sababu ya kipengele hiki.(Honourary degree hazitambuliiwi!)
 
A-level na degree ya kwanza kasoma wapi?? na mwaka gani?!? Kulikuwa na haja gani ya kusoma degree 2 za masters ambazo zinafanana (Econ????!) kama sio ufujaji wa fedha tu!?!?!
 
Juzi Kenya wamepitisha sheria ya uchaguzi inayotaka kila mgombea ubunge awe at least na first degree. Kuna ubaya gani hata sisi wabongo tukiinga mazuri ya wenzetu wa Kenya?!

I cant imagine huyo mh. anaweza kweli kusoma na kuielewa vizuri bajeti. No wonder wabunge wetu huwa wanajadili vitu vya jumla jumla hakuna anayeza kuchambua kipengele kwa kipengele!

sasa hapa tanzania tunaambiwa wabunge wengi wamechakachua vyeti vyao. so hata kama hiyo sheria ikiwepo hapa kwetu bado tutakua na mambumbumbu bungeni kwa kua wengi wao hivyo vyeti sio halali so kazi ni ile ile tu.
 
Swala la CV siku zote linapohusu mbunge wa CDM wachangiaji wote wanadai tusiangalie CV bali utendaji lakini likimuhusu mbunge wa CCM basi watu wanaangalia CV na si utendaji. Jamani tumjadili Malima kwa utendaji wake na si kusoma Master miaka 4 hiyo si issue vyuo vingi vinatoa program zinazounganga kutona bachelor hadi master na cheti unachopata ni cha master sasa tatizo liko wapi? Nadhani mnakariri tu kwa sababu Mlimani hawana kitu hicho ndio maana mnaona ajabu.

ndio tunachoongea hapa. Wabunge wengi na mawaziri ni incompetent na ukija kuangalia kwanini ni wadhaifu/wazembe na hawafanyi kazi vizuri ni kwa sababu hata shule hawakuenda.
 
Sasa Masters mbili nz zote za uchumiza nini kama sio ulimbukeni???? hii inanikumbusha yale ya kkutembea na laptop mbili. Hala fu tittle ya kazi aliyokuwa akifanya BOT miaka ya 90 nashindwa kuielewa, Financial system ndo nini?????? haiwezi kuwa tittle hiyo.
 
CV haina A level wala Undergraduate degree kaanzia post graduate akitokea form 4. Hizo ngazi mbili huenda alikuwa na vyeti feki sasa kaamua havitumii tena. CV ina mapengo
 
Duh! Ukizaliwa familia maskini na ukawa wa kwanza kupata elimu halafu ukasota mtaani bila kazi nzuri lazima uwachukie sana watu wa dizaini ya malima, nape, na wale wengine waliofoji vyeti pale BoT.
Yeah! I smell rat there! NO A level education, No Bachelor degree but Postgraduate Degree!!!

Kihiyo alifanyweje baada ya kugundulika alifoji?!
 
Inaonekana jamaa kasomea sana Economics... hebu angalia hii, kaanza na Masters 1984 - 1989 halafu kaenda cuba Havana kusoma Postgraduate diploma, Then akaenda London kusoma Masters tena... huyu ndio wakututoa sio wachumi wetu wa BOT na First Class zao akina Machemba!!
University of Hauana (Cuba)MSc. (Economics)19841989MASTERS DEGREE
Univesity of London (SOAS)Post Graduate Diploma (Econ)19931994POSTGRADUATE
University of London (SOAS)MSc. (Econ)19941995MASTERS DEGREE
 
The most interesting part in this Forum, our so called Great 'Sinkers' discuss personalities! Kazi kweli kweli:A S confused:
 
Hahahaa mbona tunapenda kukurupuka tu bila ya kufanya uchunguzi ma great thinkers.kwanza suala la kwanza hivi kwani A level ni lazima mbona Dr Bilal hajamaliza A level? na wapo wengi tu baada ya kumaliza form 4 wameenda kusom aulaya au russia na india bila ya kuwa na A level na wengine ninawafahamu ni wakufunzi UDSM,MUHAS na UDOM.na hilo suala la kuunganisha degree ya kwanza na master mbona nikitu cha kawaida na miaka ya nyuma nchi nyingi zilikuwa zinafanya hivyo, hasa kwenye education,uchumi na masomo mengine ya social science. unakuwa mtu unasomamiaka 4 au 5 na ukimaliza unapewa master degree moja kwa moja lakini haimaanishi ya kuwa jujamaliza degree ya kwanza kwani unaanza kuchukua masomoya degree ya kwanza na ukikamilisha credit zinazotakiwa kwa mtu wa degree ya kwanza ndiyo unaanza master.Duniani kuna system za elimu tofauti na tusiwe vichwa mgando au kutokana na ujuinga wetu wa kutokujua hizo system na huwa tuna wa descredit watu elimu zao bila ya kufanya uchunguzi.
 
Form six si kigezo cha kupata digrii.
Mfumo wa elimu ya Tanzania ni wa miaka mingi isiyo na sababu. Kenya na Zambia miaka ni kidogo lakini pia CUBA na nchi nyingi zilizokuwa za kikomunisti zilikuwa na mfumo au zina mfumo tofauti wa elimu.

Pia watu wengi hufanya vizuri zaidi baada ya madarasa ya misingi ( primary & secondary levels ).

Halafu tukimwacha Malima inawezekana kabisa mtu akapata digrii mbili kwa pamoja.
Namfahamu dada mmoja alienda kufanya masters uingereza ya pharmacy lakini baada ya miaka minne alikuwa tayari na PHD. Na ni mwalimu mzuri tu pale muhimbili.
Kuna watu wengine hawaitaji kusoma miaka mingi ili kuwa wasomi. Wapo genius people.

Nadhani msururu wa miaka ya shule na vyeti havi mati kwa watu wanaoelewa mambo. What matters ni DELIVERY.
Kuna watu hadi no opportunity kama yako lakini ukianza naye darasa atakuacha mbali.

Sasa jaribu kubadili mtazamo, fanya utafiti utakuta watu wenye bongo wengi au watendaji wazuri hawanamsururu wa madarasa au mzigo wa vyeti na digrii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom