Lawkeys
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 1,118
- 287
View attachment 11132View attachment 11131
Hivi umewahi kutafakari? hivi unadhani hii ni sahii? wahubiri wengi wanaibuka kila kukicha, wanafanya miujiza mikubwa sana. Wengi wanadhani kwa kufanya miujiza tu wanadhihirisha kwamba wana Roho wa Mungu. Isaya 8:20 inatoa kipimo cha roho. Lakini Yohana anatwambia, "zijaribuni hizo roho.....", kwani sio roho zote zinatoka kwa Mungu. Kumbuka maandiko yansema siku za mwisho shetani atafanya miujiza mingi hata ikiwezekana kufanya moto ushuke kutoka juu, hata kuwafanya hata watakatifu kuanguka, kwani anajua wakati wake uliobaki ni mfupi sana.
Hawa wachungaji, ujumbe wao mkuu ni miujiza,miujiza tuu! hawahubiri watu wafwate sheria za Mungu na wengine wanasema, wahubiri wanahubiri kuhusu sheria za Mungu (10 commandments) wanazuia roho wa Mungu kutenda kazi, na wengine wanasema, "sheria ziligongomelewa msalabani". Soma Mathayo 5:17-18 na Ufunuo 12:14. Mahubiri yao ni ya kujiinua nafsi zao kama vile nao ni Mungu, nafasi ya Yesu haionekani KABISA, utasikia mini na fufua wafu, mimi ndio ninaponya magonjwa yote, MIMI, MIMI, MIMI (Yesu yukawapi). Kuna kiongozi wa DINI MMOJA anavaa kofia yenye ngazi tatu, zinazoonesha mamlaka tatu za kiongozi huyo. Yani, yeye ni mfalme wa Mbinguni, Duniani na Kuzimu. Yaani, inatisha binadamu anapojiinua kujifanya Mungu, onyo;
I Wathesalonike 2: 3-4<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-comfficeffice" /><o></o>
Mtu awaye yote asiwadanganye kwa njia yoyote; maana haiji, usipokuja kwanza ule ukengeufu; akafunuliwa, yule mtu wa kuasi; mwana wa uhalibifu; yule mpingamizi, ajiinuaye nafsi yake juu ya kila kiitwacho Mungu ama kuabudiwa; hata yeye mwenyewe kuketi katika hekalu la Mungu, akajionesha nafsi yake kana kwamba yeye ndiye Mungu.
Viongozi hawa wa Dini, wana pesa nyingi na kutembelea Magari ya kifahari, sina hakika kama inatokana na sadaka au la! lakini kuna mitandao ya siri kama FREEMASON wanaofund hizi institutions ili kujenga mazingira ya kumuinua LUCIFER. Nasema, hivi kwasababu nimeona katika video ya muhubiri mmoja mashuhuri (Mmarekani) anahubiri kwa mtindo wa upako na kwa kunena kwa lugha, baadae anonesha HE GOT SYMBOL (alama ya FREEMASON inayo mwakilisha Lucifer) kisha anasema kwa maneno ya kubanabana, "I am together with Lucifer". Wengine wanamtukana hata Mungu.
Kama wachungaji ndio hivyo, je wengine wamepona? Music industry ndo usiseme, alama nyingi wanazo onesha ni za Kimizimu, wanajitoa kumtumikia lucifer, hebu angalia link hii: Lady Gaga's Bad Romance - The Occult Meaning | The Vigilant Citizen . Tafuta link katika Jamii Forums, LADY GAGA, Beyonce na SASHA FIERCE, occult nk. utaona jinsi wanamuziki wanavyo fanya kazi ya yule mwovu. Kazi kuhamasisha vitendo vya zinaa, ulevi na mara nyingine hata ushoga. Maskini watanzania tunaiga iga tu.Wanamyeleka, utashuhudia alama hizo pia. Makanisa makubwa kuna alama hizo pia, angalia mchoro huo ndani ya Cathedral moja;
Lengo sio kumkwaza mtu, ila ni nia yangu ya dhati kwamba tuone jinsi ambavyo shetani anafanya kazi kwa nguvu, dalili kwamba Yesu anarudi. Tujiandae
Hivi umewahi kutafakari? hivi unadhani hii ni sahii? wahubiri wengi wanaibuka kila kukicha, wanafanya miujiza mikubwa sana. Wengi wanadhani kwa kufanya miujiza tu wanadhihirisha kwamba wana Roho wa Mungu. Isaya 8:20 inatoa kipimo cha roho. Lakini Yohana anatwambia, "zijaribuni hizo roho.....", kwani sio roho zote zinatoka kwa Mungu. Kumbuka maandiko yansema siku za mwisho shetani atafanya miujiza mingi hata ikiwezekana kufanya moto ushuke kutoka juu, hata kuwafanya hata watakatifu kuanguka, kwani anajua wakati wake uliobaki ni mfupi sana.
Hawa wachungaji, ujumbe wao mkuu ni miujiza,miujiza tuu! hawahubiri watu wafwate sheria za Mungu na wengine wanasema, wahubiri wanahubiri kuhusu sheria za Mungu (10 commandments) wanazuia roho wa Mungu kutenda kazi, na wengine wanasema, "sheria ziligongomelewa msalabani". Soma Mathayo 5:17-18 na Ufunuo 12:14. Mahubiri yao ni ya kujiinua nafsi zao kama vile nao ni Mungu, nafasi ya Yesu haionekani KABISA, utasikia mini na fufua wafu, mimi ndio ninaponya magonjwa yote, MIMI, MIMI, MIMI (Yesu yukawapi). Kuna kiongozi wa DINI MMOJA anavaa kofia yenye ngazi tatu, zinazoonesha mamlaka tatu za kiongozi huyo. Yani, yeye ni mfalme wa Mbinguni, Duniani na Kuzimu. Yaani, inatisha binadamu anapojiinua kujifanya Mungu, onyo;
I Wathesalonike 2: 3-4<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-comfficeffice" /><o></o>
Mtu awaye yote asiwadanganye kwa njia yoyote; maana haiji, usipokuja kwanza ule ukengeufu; akafunuliwa, yule mtu wa kuasi; mwana wa uhalibifu; yule mpingamizi, ajiinuaye nafsi yake juu ya kila kiitwacho Mungu ama kuabudiwa; hata yeye mwenyewe kuketi katika hekalu la Mungu, akajionesha nafsi yake kana kwamba yeye ndiye Mungu.
Viongozi hawa wa Dini, wana pesa nyingi na kutembelea Magari ya kifahari, sina hakika kama inatokana na sadaka au la! lakini kuna mitandao ya siri kama FREEMASON wanaofund hizi institutions ili kujenga mazingira ya kumuinua LUCIFER. Nasema, hivi kwasababu nimeona katika video ya muhubiri mmoja mashuhuri (Mmarekani) anahubiri kwa mtindo wa upako na kwa kunena kwa lugha, baadae anonesha HE GOT SYMBOL (alama ya FREEMASON inayo mwakilisha Lucifer) kisha anasema kwa maneno ya kubanabana, "I am together with Lucifer". Wengine wanamtukana hata Mungu.
Kama wachungaji ndio hivyo, je wengine wamepona? Music industry ndo usiseme, alama nyingi wanazo onesha ni za Kimizimu, wanajitoa kumtumikia lucifer, hebu angalia link hii: Lady Gaga's Bad Romance - The Occult Meaning | The Vigilant Citizen . Tafuta link katika Jamii Forums, LADY GAGA, Beyonce na SASHA FIERCE, occult nk. utaona jinsi wanamuziki wanavyo fanya kazi ya yule mwovu. Kazi kuhamasisha vitendo vya zinaa, ulevi na mara nyingine hata ushoga. Maskini watanzania tunaiga iga tu.Wanamyeleka, utashuhudia alama hizo pia. Makanisa makubwa kuna alama hizo pia, angalia mchoro huo ndani ya Cathedral moja;
Lengo sio kumkwaza mtu, ila ni nia yangu ya dhati kwamba tuone jinsi ambavyo shetani anafanya kazi kwa nguvu, dalili kwamba Yesu anarudi. Tujiandae