Kwa wale ambao hawamjui Baba yake mwenyekiti (Kasesela) mpaka anafariki alikuwa ni kizito pale STAMICO Upanga. This is how a "defacto monarchy" of Tanzania works.
Hongera sana Kasesera, acha wengine tuendelee kukomaza vidole kwenye keyboard za computer kwa comment zetu hapa JF
Kweli sasa nimeamini jipendekeze ili upendekezwe,....ndio maana huyu jamaa alikuwa amejivika jukumu la kujifanya ni msemaji wa serikali na CCM, kumbe wanajuwa wanachokifanya!! I see!......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.