wanajeshi wa marekani 45 wamekufa kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa afganstani walioko kwenye ulinzi wa amani nchini humo kwa kuwashika wanajeshi wa afganstani makalio kama kuwapongeza hili ni jambo kwa wazungu idadi hii imepungua tofauti na miaka ya nyuma hii ni kutokana na semina waliopata wanajeshi wa afganstani kuwa kushikwa makalio sio vibaya ila baadhi yao bado hawajaelewa hii kitu kwa habari zaidi soma bbc swahili dated 20september 2012 ujionee mwenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.