mpuuzi sana wewe.pozi likowapi sasa.mwehu nini wewe?
jamaa mbona kakaa kibahasha sana
Ndio Rais Mtegemewa
Heshima hakuna Bungeni; Enzi za Chief Adam Sapi Mkwawa kama Spika kulikuwa hakuna Mchezo; kulikuwa na Utaratibu wa kukaa Bungeni; Utaratibu wa Mavazi Bungeni na Pia jinsi ya kufurahia au kupinga Jambo; alikuwa Mkali na alijua Sheria za Bunge.
Sio Sasa hivi Sisi Vijana tumevamia hatupewi Msaada wa Maana wa Jinsi ya Kujiheshimu Bungeni karibia tutakuwa kama Bunge la Ukraine...
sio wewe tu na magamba wenzio wanaoitafuna hii nchi bila huruma.!raisi wa wapi? akiwa raisi nahama nchi. Rais anasinzia bungeni!!
Akiwa wasira rais, je utahama continent???raisi wa wapi? akiwa raisi nahama nchi. Rais anasinzia bungeni!!
Akiwa wasira rais, je utahama continent???
mkuu siku hizi bungeni kinachomata ni hoja sio nidham ya woga.!
Akiwa wasira rais, je utahama continent???