SaaMbovu JF-Expert Member Oct 8, 2013 6,027 5,342 Sep 23, 2015 #1 Tutaona mengi sana. Attachments 1443013847862.jpg 59 KB · Views: 1,359
Ryaro wa Ryaro JF-Expert Member Oct 4, 2010 2,659 1,422 Sep 23, 2015 #3 Huu Nao Ni Usanii Kama Usanii Wa Kuzunguka na Makundi ya Wasanii Kwenye Campaign .
miss chagga JF-Expert Member Jun 7, 2013 57,821 48,973 Sep 23, 2015 #4 ha ha hahahaha haha aaaaaaaaaa duh octber 25 ifike tu
Rungu JF-Expert Member Feb 23, 2007 3,932 1,726 Sep 23, 2015 #5 Ryaro wa Ryaro said: Huu Nao Ni Usanii Kama Usanii Wa Kuzunguka na Makundi ya Wasanii Kweny Click to expand... Usanii mwingine ni wa kupanda daladala na kunywa chai kwa mama n'tilie.
Ryaro wa Ryaro said: Huu Nao Ni Usanii Kama Usanii Wa Kuzunguka na Makundi ya Wasanii Kweny Click to expand... Usanii mwingine ni wa kupanda daladala na kunywa chai kwa mama n'tilie.
A aiai654 JF-Expert Member Apr 11, 2011 3,857 1,264 Sep 23, 2015 #7 Ooh sisi hatuna maigizo ya kula chapati kwa mama ntilie.....hapo chacha
More Tiz JF-Expert Member Mar 28, 2013 2,232 426 Sep 23, 2015 #8 Sisiem bila kugawa chukula, kofia, chumvi, sukari bado mambo hayajaenda.
Chapa Nalo Jr JF-Expert Member Dec 8, 2010 7,515 6,489 Sep 23, 2015 #10 I'm sorry Pombe, gari ulilopanda ccm ni kichefu chefu. My vote to ukawa daima.
P pilusonyo JF-Expert Member Jul 29, 2015 761 228 Sep 23, 2015 #11 Anacheza mziki wa lowasa na bado naye anataka akapande daladala. keshachukua nembo ya m4c n.k atakoma maana katolewa kafala LOWASA IS GENIOUS! ccm ndembendembe.
Anacheza mziki wa lowasa na bado naye anataka akapande daladala. keshachukua nembo ya m4c n.k atakoma maana katolewa kafala LOWASA IS GENIOUS! ccm ndembendembe.
HARUFU Platinum Member Jan 21, 2014 31,552 48,148 Oct 7, 2015 #13 Msiwasahau Mama zetu watengenezeeni maeneo ya kutosha ili na wao waweze kujiendeshea maisha yao, na msiwapeleke mbali na maeneo yao ya mwanzo/awali
Msiwasahau Mama zetu watengenezeeni maeneo ya kutosha ili na wao waweze kujiendeshea maisha yao, na msiwapeleke mbali na maeneo yao ya mwanzo/awali
mfilisti JF-Expert Member Sep 24, 2015 3,641 19,271 Oct 7, 2015 #14 hii ni baada ya kusikia kua Lowassa ameahidi kua rafiki wa mama ntilie jamaa na yeye kaamua kucopy